GE2025 Bashe amuomba Rais Samia Nzega iwe mkoa. Rais Samia asema atalifanyia kazi

GE2025 Bashe amuomba Rais Samia Nzega iwe mkoa. Rais Samia asema atalifanyia kazi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,441
Reaction score
5,238
Mbunge wa Nzega Mjini ambaye pia ni Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amemuomba Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan akifanikiwa kushinda na kuwa Rais wa Tanzania kwa awamu nyingine aidhinishe kugawanywa kwa Mkoa wa Tabora ili upatikane Mkoa mwingine wa Nzega kutokana na ukubwa wa Mkoa huo

.Akiongea leo September 10, 2025 wakati wa kampeni Nzega Mjini, Bashe amesema “Sisi hapa ombi letu kwako Mgombea, Watu wa Bukene ili aende kwenye Makao Makuu ya Halmashari ya Nzega Vijijini anasafiri zaidi ya KM 220, Mgombea ombi langu kwako katika kipindi chako cha pili nakuomba Rais tufikirie kuwepo na Halmashauri ya Bukene na Halmshauri ya Ndara, na nakutoa hofu kuhusu uwezo na rasilimali za kuendesha Halmashauri hizo hakuna tatizo”

“Tunaomba Mkoa huu ugawanywe kwasababu ndio Mkoa mkubwa kuliko Mikoa yote Tanzania, hii itakuwa kumbukumbuku kwasababu hili tumelilia kwa muda mrefu, na GDP ya Mkoa huu usiwe hofu nayo wala haitokuwa mzigo kwa Serikali”



Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema amelipokea na atalifanyia kazi ombi la Mbunge huyo la kuidhinisha kugawanywa kwa Mkoa wa Tabora ili upatikane Mkoa mwingine wa Nzega kwakuwa Mkoa wa Tabora ni mkubwa.

Dkt. Samia amesema ““Yote nayabeba na nakwenda kuyafanyia kazi, na mwenyewe anajua ndio maana kaniambia usijibu hapa lakini yabebe ukayafanyie kazi, kwahiyo la Halmshauri, la Campus ya UDSM kujengwa Nzega, na hili la Mkoa nakwenda kulifanyia kazi kwa undani zaidi”
 
Hii inaonesha wanaoitwa viongozi walivyo na maarifa na upeo mdogo.

Kwa akili ya Bashe, mahali pakiwa mbali tu, basi kunatakiwa kuwepo mkoa mwingine! Ujinga mkubwa.

Wenye akili wanazungumzia miundombinu na tekinolojia ili umbali usiwe kikwazo cha kupatikana huduma yoyote ile.

Ukienda baadhi ya nchi, unaweza kutoka eneo makao makuu ya mkoa mmoja hadi mwingine, hata kwa umbali wa kilometa 1,000; na bado wapo mbali sana kimaendeleo kuliko sisi.

Urusi ambayo ni kubwa mara 18 ya Tanzania ina mikoa 48. Australia yenye ukubwa unaokaribia ukubwa wa bara zima la Afrika ina mikoa 59. Canada yenye ukubwa mara 11 ya Tanzania, ina mikoa 10.

 
Hii inaonesha wanaoitwa viongozi walivyo na maarifa na upeo mdogo.

Kwa akili ya Bashe, mahali pakiwa mbali tu, basi kunatakiwa kuwepo mkoa mwingine! Ujinga mkubwa.

Wenye akili wanazungumzia miundombinu na tekinolojia ili umbali usiwe kikwazo cha kupatikana huduma yoyote ile.

Ukienda baadhi ya nchi, unaweza kutoka eneo makao makuu ya mkoa mmoja hadi mwingine, hata kwa umbali wa kilometa 1,000; na bado wapo mbali sana kimaendeleo kuliko sisi.

Urusi ambayo ni kubwa mara 18 ya Tanzania ina mikoa 48. Australia yenye ukubwa unaokaribia ukubwa wa bara zima la Afrika ina mikoa 59. Canada yenye ukubwa mara 11 ya Tanzania, ina mikoa 10.

Hapo kwenye Australia kuikaribia Afrika kwa ukubwa parekebishe aisee,,
 
Mbunge wa Nzega Mjini ambaye pia ni Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amemuomba Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan akifanikiwa kushinda na kuwa Rais wa Tanzania kwa awamu nyingine aidhinishe kugawanywa kwa Mkoa wa Tabora ili upatikane Mkoa mwingine wa Nzega kutokana na ukubwa wa Mkoa huo

.Akiongea leo September 10, 2025 wakati wa kampeni Nzega Mjini, Bashe amesema “Sisi hapa ombi letu kwako Mgombea, Watu wa Bukene ili aende kwenye Makao Makuu ya Halmashari ya Nzega Vijijini anasafiri zaidi ya KM 220, Mgombea ombi langu kwako katika kipindi chako cha pili nakuomba Rais tufikirie kuwepo na Halmashauri ya Bukene na Halmshauri ya Ndara, na nakutoa hofu kuhusu uwezo na rasilimali za kuendesha Halmashauri hizo hakuna tatizo”

“Tunaomba Mkoa huu ugawanywe kwasababu ndio Mkoa mkubwa kuliko Mikoa yote Tanzania, hii itakuwa kumbukumbuku kwasababu hili tumelilia kwa muda mrefu, na GDP ya Mkoa huu usiwe hofu nayo wala haitokuwa mzigo kwa Serikali”

View attachment 3469303

Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema amelipokea na atalifanyia kazi ombi la Mbunge huyo la kuidhinisha kugawanywa kwa Mkoa wa Tabora ili upatikane Mkoa mwingine wa Nzega kwakuwa Mkoa wa Tabora ni mkubwa.

Dkt. Samia amesema ““Yote nayabeba na nakwenda kuyafanyia kazi, na mwenyewe anajua ndio maana kaniambia usijibu hapa lakini yabebe ukayafanyie kazi, kwahiyo la Halmshauri, la Campus ya UDSM kujengwa Nzega, na hili la Mkoa nakwenda kulifanyia kazi kwa undani zaidi”
Huyu Msomali unawezakuta ndo waziri mkuu ajae
 
Kasema msomali hivyo nzega ni mkoa tayari, tutaongeza mkuu wa mkoa siju wakuu wa wilaya wangapi; wakurugenzi na vyeo vingine, kwanini Kinondoni, ilala na Temeke isiwe mikoa?
 
Mbunge wa Nzega Mjini ambaye pia ni Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amemuomba Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan akifanikiwa kushinda na kuwa Rais wa Tanzania kwa awamu nyingine aidhinishe kugawanywa kwa Mkoa wa Tabora ili upatikane Mkoa mwingine wa Nzega kutokana na ukubwa wa Mkoa huo

.Akiongea leo September 10, 2025 wakati wa kampeni Nzega Mjini, Bashe amesema “Sisi hapa ombi letu kwako Mgombea, Watu wa Bukene ili aende kwenye Makao Makuu ya Halmashari ya Nzega Vijijini anasafiri zaidi ya KM 220, Mgombea ombi langu kwako katika kipindi chako cha pili nakuomba Rais tufikirie kuwepo na Halmashauri ya Bukene na Halmshauri ya Ndara, na nakutoa hofu kuhusu uwezo na rasilimali za kuendesha Halmashauri hizo hakuna tatizo”

“Tunaomba Mkoa huu ugawanywe kwasababu ndio Mkoa mkubwa kuliko Mikoa yote Tanzania, hii itakuwa kumbukumbuku kwasababu hili tumelilia kwa muda mrefu, na GDP ya Mkoa huu usiwe hofu nayo wala haitokuwa mzigo kwa Serikali”

View attachment 3469303

Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema amelipokea na atalifanyia kazi ombi la Mbunge huyo la kuidhinisha kugawanywa kwa Mkoa wa Tabora ili upatikane Mkoa mwingine wa Nzega kwakuwa Mkoa wa Tabora ni mkubwa.

Dkt. Samia amesema ““Yote nayabeba na nakwenda kuyafanyia kazi, na mwenyewe anajua ndio maana kaniambia usijibu hapa lakini yabebe ukayafanyie kazi, kwahiyo la Halmshauri, la Campus ya UDSM kujengwa Nzega, na hili la Mkoa nakwenda kulifanyia kazi kwa undani zaidi”
Mkoa unatakiwa kuwa mkubwa siyo mdogo ...kuvunja mikoa na kuzalisha mikoa midogo ni kukosa akili ...k9nacho takiwa ni kuvunja wilaya siyo mikoa
 
Mbunge wa Nzega Mjini ambaye pia ni Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amemuomba Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan akifanikiwa kushinda na kuwa Rais wa Tanzania kwa awamu nyingine aidhinishe kugawanywa kwa Mkoa wa Tabora ili upatikane Mkoa mwingine wa Nzega kutokana na ukubwa wa Mkoa huo

.Akiongea leo September 10, 2025 wakati wa kampeni Nzega Mjini, Bashe amesema “Sisi hapa ombi letu kwako Mgombea, Watu wa Bukene ili aende kwenye Makao Makuu ya Halmashari ya Nzega Vijijini anasafiri zaidi ya KM 220, Mgombea ombi langu kwako katika kipindi chako cha pili nakuomba Rais tufikirie kuwepo na Halmashauri ya Bukene na Halmshauri ya Ndara, na nakutoa hofu kuhusu uwezo na rasilimali za kuendesha Halmashauri hizo hakuna tatizo”

“Tunaomba Mkoa huu ugawanywe kwasababu ndio Mkoa mkubwa kuliko Mikoa yote Tanzania, hii itakuwa kumbukumbuku kwasababu hili tumelilia kwa muda mrefu, na GDP ya Mkoa huu usiwe hofu nayo wala haitokuwa mzigo kwa Serikali”

View attachment 3469303

Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema amelipokea na atalifanyia kazi ombi la Mbunge huyo la kuidhinisha kugawanywa kwa Mkoa wa Tabora ili upatikane Mkoa mwingine wa Nzega kwakuwa Mkoa wa Tabora ni mkubwa.

Dkt. Samia amesema ““Yote nayabeba na nakwenda kuyafanyia kazi, na mwenyewe anajua ndio maana kaniambia usijibu hapa lakini yabebe ukayafanyie kazi, kwahiyo la Halmshauri, la Campus ya UDSM kujengwa Nzega, na hili la Mkoa nakwenda kulifanyia kazi kwa undani zaidi”

Ukweli mchungu:

Utawala wa haki unapokosekana, kama, roho za chuki na visasi hutawala kama tulivyoona kule Nepal

Yetu macho.
 
Wakati mnafungia jf mlitaka hayo mambo yenu mkaongelee wapi?
 
Mbunge wa Nzega Mjini ambaye pia ni Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amemuomba Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan akifanikiwa kushinda na kuwa Rais wa Tanzania kwa awamu nyingine aidhinishe kugawanywa kwa Mkoa wa Tabora ili upatikane Mkoa mwingine wa Nzega kutokana na ukubwa wa Mkoa huo

.Akiongea leo September 10, 2025 wakati wa kampeni Nzega Mjini, Bashe amesema “Sisi hapa ombi letu kwako Mgombea, Watu wa Bukene ili aende kwenye Makao Makuu ya Halmashari ya Nzega Vijijini anasafiri zaidi ya KM 220, Mgombea ombi langu kwako katika kipindi chako cha pili nakuomba Rais tufikirie kuwepo na Halmashauri ya Bukene na Halmshauri ya Ndara, na nakutoa hofu kuhusu uwezo na rasilimali za kuendesha Halmashauri hizo hakuna tatizo”

“Tunaomba Mkoa huu ugawanywe kwasababu ndio Mkoa mkubwa kuliko Mikoa yote Tanzania, hii itakuwa kumbukumbuku kwasababu hili tumelilia kwa muda mrefu, na GDP ya Mkoa huu usiwe hofu nayo wala haitokuwa mzigo kwa Serikali”

View attachment 3469303

Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema amelipokea na atalifanyia kazi ombi la Mbunge huyo la kuidhinisha kugawanywa kwa Mkoa wa Tabora ili upatikane Mkoa mwingine wa Nzega kwakuwa Mkoa wa Tabora ni mkubwa.

Dkt. Samia amesema ““Yote nayabeba na nakwenda kuyafanyia kazi, na mwenyewe anajua ndio maana kaniambia usijibu hapa lakini yabebe ukayafanyie kazi, kwahiyo la Halmshauri, la Campus ya UDSM kujengwa Nzega, na hili la Mkoa nakwenda kulifanyia kazi kwa undani zaidi”


Wakati mnafungia jf mlitaka hayo mambo yenu mkaongelee wapi?
 
Inatakiwa mkoa uweze zalisha mapato yake.
Mikoa kama Katavi makusanyo kwa mwaka hayafiki 3bil
 
Bashe Kila kitu ni siasa!

Hili swala lipo kisheria kabisa katika "Muongozo wa uanzishwaji wa mamlaka ya serikali za mitaa 2014)...

Mji kupewa hadhi ya mkoa kuna vigezo vimeainishwa kabisa, anajitoa akili tu, raisi hajiamulii tu..

Anajua kabisa moja ya kigezo ni kuwa na idadi ya watu ya 3% ya population ya watanzania wote kwa mujibu wa sensa ya 2022... yaani mil 59.5

Anajua ana watu 400,000 wanaotakiwa ni 1,700,000 kwa mujibu wa sheria...

BASHE AHIMIZE WATU WAKE WAONGEZE KASI YA KUZAANA! NA SIO SIASA!
 
Back
Top Bottom