Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,690
- 1,293
ukweli ndio utakaoliweka huru taifa hili, maana utawasaidia wananchi kujua mbivu na mbichi!
Namkubali kwa sababu sio mnafiki, mahali alipo anakiri yupo hapo- wengi wa wanasiasa wetu huwezi kujua ana msimamo gani au anaunga mkono nini/nani!!! mmojawao akiwa ni "namba 1"
na kadri wanavyojipambanua ndivyo tunavyotambua umuhimu wa wao 1)kubaki madarakani au 2)kuondoka haraka iwezekanavyo!swali linabaki upeo wetu unajitosheleza kuamua na kusimamia kati 1 au 2? hii ndio changamoto!Yeah! Kaamua kuanika ukweli, mana hali inavyokwenda bora kujipambanua kieleweke.
Madaktari wameshathibitisha kwamba afya ya Lowassa ni njema kabisa. Muda huu yupo anapanga mikakati tu ya magogoni 2015.
Acha hizo siasa za kibaguzi, Mpinge kwa hoja kama unayo na sio kumshambulia kwa rangi ya ngozi yake au uasilia wake.Msomali huyu,ana interst gani na Tanzania kama sio kutuyumbisha tu.Watanzania bwana,wajinga sana.
Mkuu jifunze kufikiri kwanza kabla ya kuandika humu JF.yani ,mapoteza muda kumjadili bashe huyu wa ununio islamic seminary!
Mkuu fafanua zaidi.Haya makundi ya ccm hayataleta madhara ndani ya chama chao tu.. madhara yatakuwa kwa nchi nzima.. Watasababisha machafuko hatimae.. Seriously hatuko salama kabisa..
Mkuu jifunze kufikiri kwanza kabla ya kuandika humu JF.
Tuko hapa kujadili hoja yake na sio personal issues.
Ununio Islamic Seminary ina husika vipi na hoja ya Bashe?
wamarekani ni kina nani kwa ufahamu wako huo mdogo?Acha hizo siasa za kibaguzi, Mpinge kwa hoja kama unayo na sio kumshambulia kwa rangi ya ngozi yake au uasilia wake.
What about Obama in America?
Je wamarekani nao ni wajinga?
Msomali huyu,ana interst gani na Tanzania kama sio kutuyumbisha tu.Watanzania bwana,wajinga sana.
amejifunza nini kutoka kwa Lowasa?