Watakuwa waliamliwa na Bashite maana Bashite alikuwa serikali Siku hiziBASATA wanapata amri toka juu kua wimbo fulani ufungiwe!!! Sometimes na wao hawana say.... Wanatii tu walio juu
Sizonje kwa maamuzi yake waweza ona ameitumbua Basata kwakuendesha uonevuSiyo Basata tu,watumishi wote wa serikali safari hii wanafanya kazi kwa uoga sana,taaluma na weledi havitumiki safari hii huko serikalini
Nani katofautiana na mwenzie..??Bila shaka basata na polisi walikurupuka sana wamepata aibu baada ya kutofautiana na mamlaka za juu