MIGUGO
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,137
- 3,950
Wakina dada hawa wamekuwa wakipendezesha videos na kuwa na mvuto lakini sidhani kama wanapata maslahi ya kueleweka zaidi ya umaarufu.
Nadhani ni kazi ambayo ni ya gharama hasa kuwekeza kwenye muonekano na pia jamii kuwachukulia kama mara ya BASATA iwaangalie hawa.
Nadhani ni kazi ambayo ni ya gharama hasa kuwekeza kwenye muonekano na pia jamii kuwachukulia kama mara ya BASATA iwaangalie hawa.