BASATA fungieni wimbo wa 'Kibamia' wa Roma na Stamina

Huu wimbo umejaa matusi mno sijui hii sanaa ya hawa vijana wa bongo fleva wainaipeleka wapi ni uchafu mtupu hasa verse ya Roma nae maua kaingia mkenge katika huu wimbo wa uchafu.

Baba yake na Banana aliwasihi sana wapunguze matusi ktk nyimbo zao hawa vijana tafsida hamna kabisa BASATA fungia hawa.

Kwa sasa huwezi hata kusikiliza hizi nyimbo ukiwa na wazee wa heshima.

Hakika hawa vijana ni ngumu sana kuwafikia wakina profesa Jay.

Mshkaj toka atekwe simsomi kabisa
 
Huu wimbo umejaa matusi mno sijui hii sanaa ya hawa vijana wa bongo fleva wainaipeleka wapi ni uchafu mtupu hasa verse ya Roma nae maua kaingia mkenge katika huu wimbo wa uchafu.

Baba yake na Banana aliwasihi sana wapunguze matusi ktk nyimbo zao hawa vijana tafsida hamna kabisa BASATA fungia hawa.

Kwa sasa huwezi hata kusikiliza hizi nyimbo ukiwa na wazee wa heshima.

Hakika hawa vijana ni ngumu sana kuwafikia wakina profesa Jay.
Mshkaji toka atekwe simsomi kabisa
 
Watu wamepambana kuufikisha huu mziki hapa ulipo,enzi hizo unaonekana in uhuni,Leo malimbukeni kama Roma wanaturudisha nyuma,jitu lina family linatukana hovyo,wakwe,mashemeji,wanakufikiliaje
 
Watu wamepambana kuufikisha huu mziki hapa ulipo,enzi hizo unaonekana in uhuni,Leo malimbukeni kama Roma wanaturudisha nyuma,jitu lina family linatukana hovyo,wakwe,mashemeji,wanakufikiliaje

Kabisa mkuu
 
uume mdogo haujatajwa kwenye huo wimbo.


Yeye kasema kibamia. Kwani bamia hamzijui? Kuna bamia kubwa na ndogo. Ndogo ndiyo kibamia, na ndicho kilichoimbwa hapo!

wimbo wa ney wa mitego PALE KATI PATAMU ulipofungiwa alipataja? mafumbo ya kitoto wanatumia wanatakiwa waumize akili sio kwa uchafu ule
 
Maua Sama-Nani anipende kwenye kitanda atanipa raha sitaki kiba_100 mwanaume mashine.

Stamina-Nikipiga shuti unadaka gizani hata bila ya taa

ROMA-Nikuhonge mali basi zidisha utundu nipe michezo hatari ninyonye mpaka mkund@

Mix kabari na shingo chini ya uvungu na unapolala chali ndo wananitoka wazungu

Kwa hiyo kesho Roma akimkuta Ivan anaimba hiyo verse "nikuhonge mali basi zidisha utundu
Nipe michezo hatari nikunyonye mpaka mkund@"

Atampiga huyo mwanae au?
 
Kabisa mkuu jamaa kaoa ujinga alioimba mule kinyaa sana sijui wakwe na mashemeji wanamchukuliaje
Mie niliuskiliza nikiwa peke yangu lakini nikajikuta naona aibu kwa ile verse aloimba roma.yaan hata haufai kuuskiliza na watu wenye heshma zao
 
Aiseee tunashukuru kwa taarifa sikujua kama umetoka video nzuri mno nimependa kila kitu,,,,
 
huu wimbo ungekuwa na maana kama mstari wa stamina wa kumwambia maua chura sio lazima kwamba ni kazi ya MUUMBA husingekuwepo. sasa swali je hiyo wanayosema kibamia sio sehemu ya kazi ya MUUMBA? sema hatupaswi kupanic maana kuimba kwa lugha tatanishi imekuwa dili siku hizi. ila kuna wanawake nao injini zimetanuka sana kwakweli dah
Zimetanuliwa na kina nani wakati nyie vibamia?
 
Back
Top Bottom