Jamaa ni MUONGO KUPITILIZA.
Hata mtu aliyefanya kazi ya Junior Systems Admin anajua jamaa anaongea upuuzi. Hana access wala control ya mfumo wowote.
Ila kwa sababu watu hawajasoma wanaamini chochote bila kuelewa.
Eti nilimpigia simu Chair wa DP World 😂😂
Eti nimeandika barua meli za mizigo na ndege zisije nchini, na watu wanaitikia 😂😂
Hivi si mnafahamu hizo kampuni zote zina World class risk departments?
Ndege bado zinaenda Venezuela ambapo mmarekani kasanction karibu kila kitu na yupo standby kuvamia nchi itakuwa Tanzania?
Akili za kuambiwa ……..