Registered_jf
JF-Expert Member
- Nov 27, 2024
- 920
- 1,454
Alisema ameandika kiapo kwenda kwa rais wa ICC chenye kurasa 168.
Alisema walituma barua kwenye mashirika ya ndege kuwaambia wasije huku kutakuwa na maandamano yasiyo na kikomo. Mashirika gani, mangapi?...
Alisema walituma barua kwa ofisi za mabalozi zote.
Alisema watatuma barua Mecca na kumbatanisha picha za wale mashehe ili wasiruhusiwe kwenda kuhiji huko, akaomba atumiwe picha zao (nimesahau ni mashehe wapi: waliokuwa wanaimba amani au hawa waliosema watakata watu vichwa.)
Alisema wametuma barua Red Cross na walipata majibu.
Pia Research yake ya chuo kuhusu kila nyumba ya mbongo kuwa na angalau mwendawazimu mmoja.
Naomba kuonyeshwa nyaraka hizi zilipo nikajionee.
Asante.
(PS: nimesikitika kusikia unamtishia jamaa wa ikulu kuwa utamtumia mkewe picha za mumewe akiwa na mchepuko wake. Seriously, huyo mkewe ni mzungu ama? Kwani hujui Wanawake wa huku na ndoa ni kama Samuya na urais. Hatuachii by force by fire).
Ni mimi muuza sumu ya panya kutokea Buza.
Alisema walituma barua kwenye mashirika ya ndege kuwaambia wasije huku kutakuwa na maandamano yasiyo na kikomo. Mashirika gani, mangapi?...
Alisema walituma barua kwa ofisi za mabalozi zote.
Alisema watatuma barua Mecca na kumbatanisha picha za wale mashehe ili wasiruhusiwe kwenda kuhiji huko, akaomba atumiwe picha zao (nimesahau ni mashehe wapi: waliokuwa wanaimba amani au hawa waliosema watakata watu vichwa.)
Alisema wametuma barua Red Cross na walipata majibu.
Pia Research yake ya chuo kuhusu kila nyumba ya mbongo kuwa na angalau mwendawazimu mmoja.
Naomba kuonyeshwa nyaraka hizi zilipo nikajionee.
Asante.
(PS: nimesikitika kusikia unamtishia jamaa wa ikulu kuwa utamtumia mkewe picha za mumewe akiwa na mchepuko wake. Seriously, huyo mkewe ni mzungu ama? Kwani hujui Wanawake wa huku na ndoa ni kama Samuya na urais. Hatuachii by force by fire).
Ni mimi muuza sumu ya panya kutokea Buza.