Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,231
Mgonjwa wa akili alikuwa hospitali anaandika barua.Daktari akamuuliza "unamuandikia nani barua?"
Chizi akajibu "Najiandikia mwenyewe."
Daktari akaanza kucheka na kumwambia "Haya nieleze barua inasema nini?"
Chizi akajibu "Nitakuelezea vipi na barua yenyewe bado haijanifikia!"
Chizi akajibu "Najiandikia mwenyewe."
Daktari akaanza kucheka na kumwambia "Haya nieleze barua inasema nini?"
Chizi akajibu "Nitakuelezea vipi na barua yenyewe bado haijanifikia!"