Barua yangu ya wazi kwa Mhe Dr. Joyce Ndalichako. Waziri wa elimu, sayansi na teknolojia.

Mzalendo39

JF-Expert Member
Apr 17, 2015
882
1,029
Kwanza naomba kutanguliza pongezi katika utendaji wako wa kazi katika kuboresha, na kuhimarisha hadhi ya ubora wa Elimu inayotolewa Tanzania kwa Ngazi tofauti. Andiko langu ni kukuunga mkono kuhusu matumizi ya JOHO katika utunuku wa ngazi za uhitimu mbalimbali. kupitia tamko lako la matumizi ya JOHO kiholela, naomba kuwasilisha kwako pendekezo la muhoneko wa mavazi ya uhitimu kuanzia ngazi ya chini hadi ngazi ya elimu ya juu.

1. NURSERY
Wavae Uniform zao lakini waongeze muonekano wa TAI (ME) /SCARF (KE) ( RANGI NYEUPE)

2. PRIMARY LEVEL ( STD SEVEN)
Wavae Sare zao lakini waongeze muonekano wa TAI (ME)/ SCARF (KE) (RANGI NJANO)

3. ORDINARY LEVEL (FORM FOUR)
Wavae Sare zao lakini waongeze muonekano wa TAI (ME)/ SCARF (KE) ( RANGI KIJANI)

4. ADVANCE LEVEL ( FORM SIX)
Wavae Sare zao lakini waongeze muonekano wa TAI (ME)/ SCARF (KE) ( RANGI YA BLUE)

5. CERTIFICATE (ASTASHAHADA)
Wavae Sare zao / Shati rangi Nyeupe, waongeze muonekano wa TAI (ME)/ SCARF (KE) ( ZEBRA NYEUPE NA KIJANI). hii inajumuisha na Elimu zitolewazo vyuo vya ufundi kama VETA wanaotumia mfumo wa LEVELS zinazoendana na ngazi ya Cheti.

6. DIPLOMA (STASHAHADA)
Wavae Sare Zao/ Shati rangi Nyeupe, Waongeze muonekano wa TAI (ME)/ SCARF (KE) ( ZEBRA NYEUPE NA BLUE) Hii inajumuisha na Elimu zitolewazo na vyuo vya ufundi kama VETA wanaoyumia mfumo wa LEVELS zinazoendana na ngazi ya stashahada.

7. BACHELOR DEGREE (SHAHADA)
Wavae JOHO, SHATI NYEUPE/ BLOUSE NYEUPE na TAI (ME)/ SCARF ( RANGI NYEUSI)

8. MASTERS
Wavae JOHO, SHATI NYEUPE / BLOUSE NYEUPE na TAI (ME)/SCARF (KE) ( RANGI NYEKUNDU) Rangi nyekundu Yenye maana ya POWER (nguvu) kwasababu ameshakuwa mbobezi wa Elimu husika.

NB: Naomba kuwasilisha pendekezo hili bila kuharibu itufaki ya kimahakama ambapo wahitimu wa uwakili ( LAW SCHOOL), wanamuonekano wao unafuata taratibu za kiitifaki ya kimahakama.

HAPA KAZI TU, REBORN OF NEW TANZANIA

Naomba kuwasilisha
1479570167294.jpg


 
Huo Ushauri Wako Hizo Rangi Za Njano Na Kijani Atavaa Nani ? Ndalichako Ataupuuza Huu Ushauri Tu
 
Zungumzia mikopo ya wanafunzi vyuoni,hajapata mikopo mnaongea majoho manake nini?ndalichako wape mikopo wanafunzi acha kuwatesa watoto wetu
 
Kwanza naomba kutanguliza pongezi katika utendaji wako wa kazi katika kuboresha, na kuhimarisha hadhi ya ubora wa Elimu inayotolewa Tanzania kwa Ngazi tofauti. Andiko langu ni kukuunga mkono kuhusu matumizi ya JOHO katika utunuku wa ngazi za uhitimu mbalimbali. kupitia tamko lako la matumizi ya JOHO kiholela, naomba kuwasilisha kwako pendekezo la muhoneko wa mavazi ya uhitimu kuanzia ngazi ya chini hadi ngazi ya elimu ya juu.

1. NURSERY
Wavae Uniform zao lakini waongeze muonekano wa TAI (ME) /SCARF (KE) ( RANGI NYEUPE)

2. PRIMARY LEVEL ( STD SEVEN)
Wavae Sare zao lakini waongeze muonekano wa TAI (ME)/ SCARF (KE) (RANGI NJANO)

3. ORDINARY LEVEL (FORM FOUR)
Wavae Sare zao lakini waongeze muonekano wa TAI (ME)/ SCARF (KE) ( RANGI KIJANI)

4. ADVANCE LEVEL ( FORM SIX)
Wavae Sare zao lakini waongeze muonekano wa TAI (ME)/ SCARF (KE) ( RANGI YA BLUE)

5. CERTIFICATE (ASTASHAHADA)
Wavae Sare zao / Shati rangi Nyeupe, waongeze muonekano wa TAI (ME)/ SCARF (KE) ( ZEBRA NYEUPE NA KIJANI). hii inajumuisha na Elimu zitolewazo vyuo vya ufundi kama VETA wanaotumia mfumo wa LEVELS zinazoendana na ngazi ya Cheti.

6. DIPLOMA (STASHAHADA)
Wavae Sare Zao/ Shati rangi Nyeupe, Waongeze muonekano wa TAI (ME)/ SCARF (KE) ( ZEBRA NYEUPE NA BLUE) Hii inajumuisha na Elimu zitolewazo na vyuo vya ufundi kama VETA wanaoyumia mfumo wa LEVELS zinazoendana na ngazi ya stashahada.

7. BACHELOR DEGREE (SHAHADA)
Wavae JOHO, SHATI NYEUPE/ BLOUSE NYEUPE na TAI (ME)/ SCARF ( RANGI NYEUSI)

8. MASTERS
Wavae JOHO, SHATI NYEUPE / BLOUSE NYEUPE na TAI (ME)/SCARF (KE) ( RANGI NYEKUNDU) Rangi nyekundu Yenye maana ya POWER (nguvu) kwasababu ameshakuwa mbobezi wa Elimu husika.

NB: Naomba kuwasilisha pendekezo hili bila kuharibu itufaki ya kimahakama ambapo wahitimu wa uwakili ( LAW SCHOOL), wanamuonekano wao unafuata taratibu za kiitifaki ya kimahakama.

HAPA KAZI TU, REBORN OF NEW TANZANIA

Naomba kuwasilishaView attachment 436462

Ulisoma dressing code kweli wewe!!!?
 
Back
Top Bottom