Tanayzer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 3,009
- 7,309
To the beautiful flower....
Ninatumai umzima wa afya....Ni kipindi kirefu kimepita, toka uamue kwenda mbali na kuacha moyo nahisia kwenye majonzi, umeacha roho ndani ya moto pengine umeacha mwili umeondoka na roho yangu.....
Najiuliza, nini kilifanya unikimbie??, na nadhani hali yangu haikuwa nzuri, labda ndo chanzo.... Huenda ulipenda pesa,zawadi, hata kile kidogo nilichokupa ukaona hakifai na kuamua kunitoa moyoni mwako na kuzima ndoto yangu ya kuja kuishi nawe....
Labda pengine marafiki zako walikushawishi uachane namm, kwa kuwa sijawahi onekana kama nina future mbele ya marafiki zako...
Pegine ni utoto alifanya udate na wavaa vizuri na wenye hadhi zao na kuona mtoto wa mkulima sina cha kukupa maishani....
Moyo unamsiba bado na kichwa hakiwezi kaa sawa,...
Natumaini unaendelea vizuri. Ila huku umeacha mtu nusu, furaha na mazoea uliyonizoesha vimegeuka mzigo mkali uliomshinda babu mwenye mzigo wa kuni kupanda mlima.....
Najaribu kukusahau ila siwezi,najaribu penda naishia kuumiza wasio na hatia.najaribu kaa bila upendo nakuwa mpweke zaidi ya ukiwa wa yatima asie na wazazi wote, ila naimani ipo siku nitapata kitu cha muhimu na nitakuwa na uwezo wa kukuafford labda sahizi wewe ni too expensive kwangu na you are too far from my poor reach.....
All the lord love and protection be upon you......
@By Tanayzer lamo
Ninatumai umzima wa afya....Ni kipindi kirefu kimepita, toka uamue kwenda mbali na kuacha moyo nahisia kwenye majonzi, umeacha roho ndani ya moto pengine umeacha mwili umeondoka na roho yangu.....
Najiuliza, nini kilifanya unikimbie??, na nadhani hali yangu haikuwa nzuri, labda ndo chanzo.... Huenda ulipenda pesa,zawadi, hata kile kidogo nilichokupa ukaona hakifai na kuamua kunitoa moyoni mwako na kuzima ndoto yangu ya kuja kuishi nawe....
Labda pengine marafiki zako walikushawishi uachane namm, kwa kuwa sijawahi onekana kama nina future mbele ya marafiki zako...
Pegine ni utoto alifanya udate na wavaa vizuri na wenye hadhi zao na kuona mtoto wa mkulima sina cha kukupa maishani....
Moyo unamsiba bado na kichwa hakiwezi kaa sawa,...
Natumaini unaendelea vizuri. Ila huku umeacha mtu nusu, furaha na mazoea uliyonizoesha vimegeuka mzigo mkali uliomshinda babu mwenye mzigo wa kuni kupanda mlima.....
Najaribu kukusahau ila siwezi,najaribu penda naishia kuumiza wasio na hatia.najaribu kaa bila upendo nakuwa mpweke zaidi ya ukiwa wa yatima asie na wazazi wote, ila naimani ipo siku nitapata kitu cha muhimu na nitakuwa na uwezo wa kukuafford labda sahizi wewe ni too expensive kwangu na you are too far from my poor reach.....
All the lord love and protection be upon you......
@By Tanayzer lamo