Mpendwa,
Wema Sepetu,
Ukweli utokao moyoni ni kwamba nakupenda saaaaana, wewe mwenyewe,kazi zako n.k.
Lakini lengo hasa la kuandika barua hii na vile navyohisi juu yako yani ni kama vile umeniloga!Kwasababu kila ukiandikwa vibaya kwenye magazeti mm moyo wangu ndio unalipuka zaidi kwa upendo juu yako.Mfano nikisikia Wema kafumaniwa yani siku hiyo sitalala kwa malavdav juu yako.Namuomba Mola japo siku moja tu nile chakula cha mchana au jioni na wewe,kwakuwa uwezowangu wa kifedha hauwezi kukumiliki basi ntaishia tu kukumiliki kwa-bluetooth!AM CRAZY OVER U!
Wako akupendaye
Nyuli!
Wema Sepetu,
Ukweli utokao moyoni ni kwamba nakupenda saaaaana, wewe mwenyewe,kazi zako n.k.
Lakini lengo hasa la kuandika barua hii na vile navyohisi juu yako yani ni kama vile umeniloga!Kwasababu kila ukiandikwa vibaya kwenye magazeti mm moyo wangu ndio unalipuka zaidi kwa upendo juu yako.Mfano nikisikia Wema kafumaniwa yani siku hiyo sitalala kwa malavdav juu yako.Namuomba Mola japo siku moja tu nile chakula cha mchana au jioni na wewe,kwakuwa uwezowangu wa kifedha hauwezi kukumiliki basi ntaishia tu kukumiliki kwa-bluetooth!AM CRAZY OVER U!
Wako akupendaye
Nyuli!