Barua ya wazi kwa RPC Arusha

Barua ya wazi kwa RPC Arusha

Kishongo

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2010
Posts
932
Reaction score
67
Mheshimiwa RPC

Salaam.

Watanzania wote tunafuatilia kwa karibu yanayojiri sasa mjini Arusha.

Tunapenda kukupongeza wewe na vijana wako kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya katika kuhakikisha kuwa sheria za nchi yetu zinafuatwa na kila mtu. Mmeonesha weledi (professionalism) wa hali ya juu.

Tuko pamoja na wewe Kamanda. Tutalinda kwa gharama yeyote usalama na utulivu wa nchi yetu. Vitendo vya kihuni vilivyofanywa na viongozi wapuuzi wa cdm haviwezi kuvumiliwa kamwe. Aidha siasa za kishenzi hazina nafasi katika Tanzania ya sasa.

Wazalendo tunaendelea kuchapa kazi katika kujiletea maendeleo yetu, hatuna muda wa kupoteza wala hatutapotoshwa na wanasiasa uchwara wanaotaka kutumia siasa kutimiza malengo binafsi.

Mungu Ibariki Tanzania.


kny Watanzania Wazalendo.
 
mheshimiwa rpc

salaam.

Watanzania wote tunafuatilia kwa karibu yanayojiri sasa mjini arusha.

Tunapenda kukupongeza wewe na vijana wako kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya katika kuhakikisha kuwa sheria za nchi yetu zinafuatwa na kila mtu. Mmeonesha weledi (professionalism) wa hali ya juu.

Tuko pamoja na wewe kamanda. Tutalinda kwa gharama yeyote usalama na utulivu wa nchi yetu. Vitendo vya kihuni vilivyofanywa na viongozi wapuuzi wa cdm haviwezi kuvumiliwa kamwe. Aidha siasa za kishenzi hazina nafasi katika tanzania ya sasa.

Wazalendo tunaendelea kuchapa kazi katika kujiletea maendeleo yetu, hatuna muda wa kupoteza wala hatutapotoshwa na wanasiasa uchwara wanaotaka kutumia siasa kutimiza malengo binafsi.

Mungu ibariki tanzania.


Kny watanzania wazalendo.

ameen!
 
Mheshimiwa RPC

Salaam.

Watanzania wote tunafuatilia kwa karibu yanayojiri sasa mjini Arusha.

Tunapenda kukupongeza wewe na vijana wako kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya katika kuhakikisha kuwa sheria za nchi yetu zinafuatwa na kila mtu. Mmeonesha weledi (professionalism) wa hali ya juu.

Tuko pamoja na wewe Kamanda. Tutalinda kwa gharama yeyote usalama na utulivu wa nchi yetu. Vitendo vya kihuni vilivyofanywa na viongozi wapuuzi wa cdm haviwezi kuvumiliwa kamwe. Aidha siasa za kishenzi hazina nafasi katika Tanzania ya sasa.

Wazalendo tunaendelea kuchapa kazi katika kujiletea maendeleo yetu, hatuna muda wa kupoteza wala hatutapotoshwa na wanasiasa uchwara wanaotaka kutumia siasa kutimiza malengo binafsi.

Mungu Ibariki Tanzania.


kny Watanzania Wazalendo.

crap
 
Mheshimiwa RPC

Salaam.

Watanzania wote tunafuatilia kwa karibu yanayojiri sasa mjini Arusha.

Tunapenda kukupongeza wewe na vijana wako kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya katika kuhakikisha kuwa sheria za nchi yetu zinafuatwa na kila mtu. Mmeonesha weledi (professionalism) wa hali ya juu.

Tuko pamoja na wewe Kamanda. Tutalinda kwa gharama yeyote usalama na utulivu wa nchi yetu. Vitendo vya kihuni vilivyofanywa na viongozi wapuuzi wa cdm haviwezi kuvumiliwa kamwe. Aidha siasa za kishenzi hazina nafasi katika Tanzania ya sasa.

Wazalendo tunaendelea kuchapa kazi katika kujiletea maendeleo yetu, hatuna muda wa kupoteza wala hatutapotoshwa na wanasiasa uchwara wanaotaka kutumia siasa kutimiza malengo binafsi.

Mungu Ibariki Tanzania.


kny Watanzania Wazalendo.

Aidha ni UJINGA, Au UMEJISAHAU au UMELEWA Shibe, Demokrasia ni Ghali na ina gharama yake, HAKI SAWA KWA WOTE, Vyama vya Siasa vimeandikishwa kisheria na vina wanachama waadilifu , Na ni hiyari yao kuwa wanakutana bila kuvunja sheria. Ni kosa wanapoonewa bila sababu ya Msingi.Huwezi kuwazuia kwa kuleta Siasa za CHUKI, CHUKI Haina Nafasi.
 
Mheshimiwa RPC

Salaam.

Watanzania wote tunafuatilia kwa karibu yanayojiri sasa mjini Arusha.

Tunapenda kukupongeza wewe na vijana wako kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya katika kuhakikisha kuwa sheria za nchi yetu zinafuatwa na kila mtu. Mmeonesha weledi (professionalism) wa hali ya juu.

Tuko pamoja na wewe Kamanda. Tutalinda kwa gharama yeyote usalama na utulivu wa nchi yetu. Vitendo vya kihuni vilivyofanywa na viongozi wapuuzi wa cdm haviwezi kuvumiliwa kamwe. Aidha siasa za kishenzi hazina nafasi katika Tanzania ya sasa.

Wazalendo tunaendelea kuchapa kazi katika kujiletea maendeleo yetu, hatuna muda wa kupoteza wala hatutapotoshwa na wanasiasa uchwara wanaotaka kutumia siasa kutimiza malengo binafsi.

Mungu Ibariki Tanzania.


kny Watanzania Wazalendo.

Crap!
 
Mheshimiwa RPC

Salaam.

Watanzania wote tunafuatilia kwa karibu yanayojiri sasa mjini Arusha.

Tunapenda kukupongeza wewe na vijana wako kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya katika kuhakikisha kuwa sheria za nchi yetu zinafuatwa na kila mtu. Mmeonesha weledi (professionalism) wa hali ya juu.

Tuko pamoja na wewe Kamanda. Tutalinda kwa gharama yeyote usalama na utulivu wa nchi yetu. Vitendo vya kihuni vilivyofanywa na viongozi wapuuzi wa cdm haviwezi kuvumiliwa kamwe. Aidha siasa za kishenzi hazina nafasi katika Tanzania ya sasa.

Wazalendo tunaendelea kuchapa kazi katika kujiletea maendeleo yetu, hatuna muda wa kupoteza wala hatutapotoshwa na wanasiasa uchwara wanaotaka kutumia siasa kutimiza malengo binafsi.

Mungu Ibariki Tanzania.


kny Watanzania Wazalendo.

Mnaojipendekeza ili mpate walau ukuu wa wilaya mko weng
i, tatizo vyeo vya kuteuliwa ndo hivyo viko vichache. Haya basi badala ya kupoteza muda kuandika aibu toeni wazo ili rais ateue Manaibu Wakuu wa Wilaya nina uhakika Kishongo utaukwaa.
 
huyo aliyeandika barua ni wale wale tu. Mwisho wenu umefika.
 
huyu nd mpuuzi ambaye jana alikuwa alikuwa anatukana ovyo!!!

hana akili na umekunywa maji ya chooni wewe
 
mwandikie pia kuwa OCAMPO lazima amchukue THE HAGUE si kama zamani tena walivyokuwa wakitunyanyasa angalia Kenya Mr.ANDENGENYE
 
Kishongo acha upuuzi si wakati wa ushabiki sasa hivi kwani hata wana CCM wanaotumia akili na siyo kudanganywa na sare za kijani wamechukizwa na ubabe wa polisi. Najua hapa unashabikia CCM bila kutafakari kwa nini.
 
Aidha ni UJINGA, Au UMEJISAHAU au UMELEWA Shibe, Demokrasia ni Ghali na ina gharama yake, HAKI SAWA KWA WOTE, Vyama vya Siasa vimeandikishwa kisheria na vina wanachama waadilifu , Na ni hiyari yao kuwa wanakutana bila kuvunja sheria. Ni kosa wanapoonewa bila sababu ya Msingi.Huwezi kuwazuia kwa kuleta Siasa za CHUKI, CHUKI Haina Nafasi.

If you cannot find peace within yourself, you will never find it anywhere else
 
Kishongo acha upuuzi si wakati wa ushabiki sasa hivi kwani hata wana CCM wanaotumia akili na siyo kudanganywa na sare za kijani wamechukizwa na ubabe wa polisi. Najua hapa unashabikia CCM bila kutafakari kwa nini.

Nashabikia nchi yangu. Wewe unashabikia umwagaji damu na kupoteza muda na nguvu kazi kwenye mambo ya kishenzi kama maandamano ya jana?

Wake up!
 
[QUOTE=Kishongo;

The measure of one's ignorance is the depth of one's belief in tragedies and injustices! Kishongo, tafakari unayoyaandika kabla ya kuyawakilisha hapa jamii forum!
 
Kishongo ningeshangaa sana kama usingesema hivyo!!!!shame
 
nashabikia nchi yangu. Wewe unashabikia umwagaji damu na kupoteza muda na nguvu kazi kwenye mambo ya kishenzi kama maandamano ya jana?

Wake up!

ukitafuta mshenzi wa karne basi kishongo wewe ni mshenzi na unashabikia usililijua nchi gani unashabikia wewe???? Kuandamana ni haki ya kikatiba, mtakandamiza watanzania wanaodai haki mpaka lini??? Ifike mahali muone aibu na kuondoa mawazo mgando, majambazi wanaua watu na kutesa watu kila siku kila kona hao mbwa wameshindwa kuwadhibiti wanajua kutumikia masultani kwa kupiga wazalendo mabomu-mwisho umefika. Mwanza chini ya chadema sasa tunasafisha jiji lote.
 
Back
Top Bottom