Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,362
- 4,934
Shikamoo bro Mimi ni kijana wa miaka 22 Kuna jamaa mmoja hapa mtaani kwetu ananifanya naishi Kwa maumivu makali sana
Jamaa ni mshkaji wangu anakuja home tunaenda Bandaumiza pamoja ila anatoka na dada yangu ninayemfata
Badala afanye Siri anayanya makusudi akiwa na washkaji zangu wengine anawasimulia ambavyo dada yangu anampa yote inaniumiza sana .Mimi na sister tunaheshimiana then mtu from no where Tena mshkaji kabisa anadiriki kuona uchi wa dada yangu.
Najisikia vibaya sana nimemtongoza mdogo wake nimemueleza vitu ambavyo kaka yake anamfanyia dada yangu ananicheka na yeye then hataki tuwe na mahusiano.
Huu siyo ushkaji ni unafiki na mm sitaki Kuwa na rafiki snitch nilimwambia asinifatilie afanye yake Nifanye yangu lakini bado ananifatilia kila ninapoenda nilimwambia akitaka tuendelee na urafiki aachane na dada angu siyo kumchezea ndugu yangu huku naona Kwa macho yangu tena anatamba aty anapewa yote.
Akiendelea kunifatafata cjui nimfanye kitu gani
Jamaa ni mshkaji wangu anakuja home tunaenda Bandaumiza pamoja ila anatoka na dada yangu ninayemfata
Badala afanye Siri anayanya makusudi akiwa na washkaji zangu wengine anawasimulia ambavyo dada yangu anampa yote inaniumiza sana .Mimi na sister tunaheshimiana then mtu from no where Tena mshkaji kabisa anadiriki kuona uchi wa dada yangu.
Najisikia vibaya sana nimemtongoza mdogo wake nimemueleza vitu ambavyo kaka yake anamfanyia dada yangu ananicheka na yeye then hataki tuwe na mahusiano.
Huu siyo ushkaji ni unafiki na mm sitaki Kuwa na rafiki snitch nilimwambia asinifatilie afanye yake Nifanye yangu lakini bado ananifatilia kila ninapoenda nilimwambia akitaka tuendelee na urafiki aachane na dada angu siyo kumchezea ndugu yangu huku naona Kwa macho yangu tena anatamba aty anapewa yote.
Akiendelea kunifatafata cjui nimfanye kitu gani