Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
Hata mimi nakumbuka hiyo coverage ya ITV na balozi wa Palestina - nadhani yule aliyeondoka, siyo huyu, kwani muda umepita kidogo.
Lakini issue ni vipi anaandika barua ya kujiuzulu ndefu hivyo na kutoa malalamiko ya upande mmoja na kuileak (au alitaka iwe leaked) humu JF? Anataka sympathy ya nani? Kama aliyakoroga kule Guardian, basi ni ayanywe tu polepole, kama wanavyofanya wengi, akiwemo huyo mama Mwakitwange aliyetajwa hapo juu -- kimya kimya tu aliondoka New habari, bila kupayuka hovyo!
Hayo ya kumkandia Mengi bila shaka amefundishwa na hao waliomtuma kwenda huko Guardian -- wale mafisadi mapapa. Nadhani itakuwa ni hivyo tu.
Na je kama Barua hii imechomolewa ndani na wafanyakazi wengine wenye bifu na RM kwa sababu ya ujira usiokidhi haja?
Ukiangalia chini kabisa kwenye cc... inaonyesha hii ni ile copy iliyoenda kwa Mr. Mshana, The Guardian MD.
Naomba kuulizwa swali la kiutendaji, Sakina akiamwandikia mwenyekiti, kwenye ajira yake alikuwa anareport kwa Mwenyekiti wa IPP, au kwa MD wa The Guardian?