Tetesi: Barua ya Nchimbi ilifichwa

Una uchawa kwa asilimia kubwa sana
 
Yana mwisho mzee, wala hayana muda mrefu
 
We kimavi huo ni uwongo wako uliojitungia. Ni mazuzu na nyumbu wenzako ndiyo watakuunga mkono maana JG imekuwa jukwaa la wapuuzi km wewe
 
Hv ni mwehu gani ataamini huu uchafu wako? Huoni ht aibu kuandika huu ushamba?
 
Barua Iko wapi!!?kama ishavuja!!?

Hiyo barua wa kuitoa ni yeye mwenyewe. Kiuhalisia barua ya kujiuzulu wote hatujaiona. Barua aliyoitoa public ilikuwa ya kuonyesha intention au taarifa kuwa amemuandikia Rais. Ni vizuri akafanya lama alivyofavya Polepole kwa MASLAHI YA UMMA.
 
Sio kweli hawezi kuandika zaidi ya kile alichokipandisha kwenye account yake na account rasmi za ofisi yake..
 
Bila kudai "proof of life", kimzaha mzaha jamaa tunaweza tusimuone wala kumsikia tena na wenyewe watapiga mute kama Polepole.

Watakuwa wanaibuliwa watu waje kusema mambo ya kizuizini kumbe ndiyo ntolee hiyo.
 
Imevuja tupatie
 
Bila kudai "proof of life", kimzaha mzaha jamaa tunaweza tusimuone wala kumsikia tena na wenyewe watapiga mute kama Polepole.

Watakuwa wanaibuliwa watu waje kusema mambo ya kizuizini kumbe ndiyo ntolee hiyo.
Ni aibu kubwa sana na ni kudogosha kwa kiasi kikubwa mamlaka ya nchi
 
Nimeona Instagram Maria Sarungi anasema tumeshinda sikumuelewa au ndio hiyo barua
 
Hii kama inakuja vile
 
Tetesi za soka

Unaweza kuta sio tetesi..hawa majasusi wana mambo mengi sana. Timing ya kila kitu mi muhimu sana. Mungu anataka Tanzania ijulikane...na hilo hao,bi approval ya mtu yoyote.

Kuna wenye dhamana waliowaangusha sana wapiga kura....
 
Cha kufurahisha taarifa hii inaandikwa na mfuasi wa CDM
 
Mwenye nayo tafadhali,kwani mabalozi ni 🔥🔥🔥
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…