hilo deni alilokuwa anadaiwa kama ni lake binafsi kwa thamani ya pesa kipindi kile basi alikuwa na kila dalili za ufisadi,hivi huyu si ndiye alienda london akakuta bilioni tatu imkuwa frozen!!!!!
Prof. angekuwepo hadi leo sijui hali ingekuaje. Maana jamaa alikuwa mdini aliyepindukia Lipumba ni cha mtoto.
Basil Pesambili Mramba...Jk ni Mwanasiasa na hiyo ndio ilikuwa Kick yake 1995 mpaka akaingia 3 bora ya Mbio za Urais kwa kuwa alionekana ni Mwanasiasa Jasiri ( alikuwa na Miaka 5 tu Kama Waziri akiwa na Miaka 45) kumtuhumu Mwanasiasa Kama Prof Kighoma Tena wa Enzi zile
Prof Malima alikuwa Mjenzi mzuri sana wa hoja lakin tusisahau Jk alikuwa anasoma Majibu ya CAG sio Mawazo yake
Zile zilikuwa Figisu za Mbio za Urais 1995 huku ikionekana Prof Malima alikuwa na nia ya Urais!
Kwny Siasa zetu kuonesha Nia ya kuwania Urais ni Changamoto sana
Kwa haraka haraka naweza kusema Jk ndio Waziri Pekee wa Fedha kwa zaid ya Miaka 20 aliyetoka pale Hazina bila ya Msuko suko
Kighoma Malima, Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea
Prof Simon Mbilinyi 1996 Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea kisiasa
Daniel Yona na Mbilinyi Wizara ya Fedha ndio chanzo cha Matatizo ya kufungwa yaliyomkuta
Zakhia Hamdani Meghji Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea 2007
Mustapha Mkulo Wizara ya Fedha ndio iliyosababisha akapotea
William Mgimwa Wizara ya Fedha ndio ilipelekea Kifo chake
Jk ndio pekee kafanikiwa kutoka Treasury na kuendelea na Siasa zake Tangu 1990!
Basil Pesambili Mramba...
Hata Prof Simon Mbilinyi alipita huko na akapotea.Yaa ni Mramba sio Mbilinyi Acha nirekebishe Shukran
Hata Prof Simon Mbilinyi alipita huko na akapotea.
Kumbe fitna ameanza kitambo
Yaa naona Malima mtoto kaifukunyua kutoka kwenye masijala ya nyumbani kwao, naona mwanzo wa vita, tutegemee kuibuliwa siri nyingine huko mbele ya safari.
Tuambie walimwengu tupate kujuaProf. kighoma Malina, Mwenyezi umpumzishe kwa amani, na amuwekee wepesi kaburini. Yapo mema mengi aliyoyafanya.
Marehemu na JK wote walikuwa wanachama wa BALUKTA na malengo ya kikundi hicho yalikuwa kuwania nafasi za juu kabisa za kisiasa "Abuja Declaration" Sasa tunajua nani alimuwahi mwenzake. RIP mzee Malima. Lakini tusisahau kuwa Malima junior kainuliwa na JK ili "KARMA" isimwandame.Jk ni Mwanasiasa na hiyo ndio ilikuwa Kick yake 1995 mpaka akaingia 3 bora ya Mbio za Urais kwa kuwa alionekana ni Mwanasiasa Jasiri ( alikuwa na Miaka 5 tu Kama Waziri akiwa na Miaka 45) kumtuhumu Mwanasiasa Kama Prof Kighoma Tena wa Enzi zile
Prof Malima alikuwa Mjenzi mzuri sana wa hoja lakin tusisahau Jk alikuwa anasoma Majibu ya CAG sio Mawazo yake
Zile zilikuwa Figisu za Mbio za Urais 1995 huku ikionekana Prof Malima alikuwa na nia ya Urais!
Kwny Siasa zetu kuonesha Nia ya kuwania Urais ni Changamoto sana
Kwa haraka haraka naweza kusema Jk ndio Waziri Pekee wa Fedha kwa zaid ya Miaka 20 aliyetoka pale Hazina bila ya Msuko suko
Kighoma Malima, Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea
Prof Simon Mbilinyi 1996 Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea kisiasa
Daniel Yona na Mramba Wizara ya Fedha ndio chanzo cha Matatizo ya kufungwa yaliyomkuta
Zakhia Hamdani Meghji Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea 2007
Mustapha Mkulo Wizara ya Fedha ndio iliyosababisha akapotea
William Mgimwa Wizara ya Fedha ndio ilipelekea Kifo chake
Jk ndio pekee kafanikiwa kutoka Treasury na kuendelea na Siasa zake Tangu 1990!
Kulingana na utaratibu wa zamani lazima ubaki na kumbukumbu, sasa dogo anaanza kufukua makabrasha ya dingi.Hiyo Barua ilikuwa kaandikiwa Rais wa Jamhuri wa wakati huo, inawezekana pia imevujia Jumba jeupe
SMART!!!!!Jk ni Mwanasiasa na hiyo ndio ilikuwa Kick yake 1995 mpaka akaingia 3 bora ya Mbio za Urais kwa kuwa alionekana ni Mwanasiasa Jasiri ( alikuwa na Miaka 5 tu Kama Waziri akiwa na Miaka 45) kumtuhumu Mwanasiasa Kama Prof Kighoma Tena wa Enzi zile
Prof Malima alikuwa Mjenzi mzuri sana wa hoja lakin tusisahau Jk alikuwa anasoma Majibu ya CAG sio Mawazo yake
Zile zilikuwa Figisu za Mbio za Urais 1995 huku ikionekana Prof Malima alikuwa na nia ya Urais!
Kwny Siasa zetu kuonesha Nia ya kuwania Urais ni Changamoto sana
Kwa haraka haraka naweza kusema Jk ndio Waziri Pekee wa Fedha kwa zaid ya Miaka 20 aliyetoka pale Hazina bila ya Msuko suko
Kighoma Malima, Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea
Prof Simon Mbilinyi 1996 Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea kisiasa
Daniel Yona na Mramba Wizara ya Fedha ndio chanzo cha Matatizo ya kufungwa yaliyomkuta
Zakhia Hamdani Meghji Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea 2007
Mustapha Mkulo Wizara ya Fedha ndio iliyosababisha akapotea
William Mgimwa Wizara ya Fedha ndio ilipelekea Kifo chake
Jk ndio pekee kafanikiwa kutoka Treasury na kuendelea na Siasa zake Tangu 1990!
Jk mzee wa figisu figisu
Hata Lowasa anatambua hilo
unapokuja wizi kwa mwanaccm inawezekanaNa Wewe ndio ukaamini!
Na ile ya Shimbo mnadhimu wa Jwtz kuwa na 6 trillion kwny account SA uliamini?