Barua ya Albert Einstein kumhusu Mungu yauzwa kwenye mnada kwa bei ya $2.9m(£2.3m).

mbona una quarto bila kuelewa kwanza? Au hujui maana ya kuthibitka!? Je! Unaweza kumthibtishiaje kipofu kuwa kuna kitu kinaitwa umeme? Em niambie Ni mbinu gani unaweza kutumia kumthibtshia MTU wa aina hii uwepo wa umeme?
Ila umeme unathibitika mdau wala hauhitaji macho.... au unataka kutuambia Mungu ni umeme... umeme nitakuambia kaushike je kwa Mungu tufanyeje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We pimbi uwe unaelewa

Umeme upo na na unathibitishika kama upo ndio mana hapa hatubishani kuto kuwepo kwake unaelewa

Nilikukataza mwanzo kua mi sibishi mungu yupo eti kwasababu haonekani, vitu vingi havionekani lakini vinathibitishika kua vipo pasipo mkanganyiko wowote mfano umeme upo unathibitishika kwa mfano mdogo tu upepo unathibitishika hata kwa ngozi yako kua upo,

Unapozungumzia kua mungu ndiye muumbaji wa kila kitu hutakiwi kuweka ukomo kwenye kumuelezea kama ulivyo fanya kuelezea vitu alivyo viumba yeye aliumbwa na nani

Ulisema kua kaumba viumbe vilivyo na visivyo hai

Swali je huyo mungu ni kiumbe hai au kisicho hai?
Hapa umeua....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawezi kuelewa kwamba imani tayari ni udhaifu.

Wengi wanaamini kwamba tukio la Lisu kupigwa risasi ni la kisiasa. (Jiulize hapo je ni kwanin wanaamini)... Je, unadhani kwa wale waliouhusika kumpiga risasi wao nao wanaamini wamempiga risasi kwasababu za kisiasa?... kwanin kwao ukitumia "kuamini: statementi inakuwa haijakaa vizuri".... ni hvi wao ndio wanaojua ukweli and therefore hawawezi kubashiri/kuamini... ila sisi wa nje ya mchezo tunaamini kwasababu hatujui ukweli usio na shaka bali tunahusisha na matukio mengine na namna tunavyoona hii inshu inavyoendeshwa...

Sent using Jamii Forums mobile app
Fact
 
Zaburi 14
1 Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo, Hakuna atendaye mema.

2 Toka mbinguni Bwana aliwachungulia wanadamu, Aone kama yuko mtu mwenye akili, Amtafutaye Mungu.

3 Wote wamepotoka, wameoza wote pamoja, Hakuna atendaye mema, La! Hata mmoja.

4 Je! Wote wafanyao maovu hawajui? Walao watu wangu kama walavyo mkate, Hawamwiti Bwana.

5 Hapo ndipo walipoingiwa na hofu nyingi, Maana Mungu yupo pamoja na kizazi cha haki.

6 Mnalitia aibu shauri la mtu mnyonge, Bali Bwana ndiye aliye kimbilio lake.

7 Laiti wokovu wa Israeli utoke katika Sayuni! Bwana awarudishapo wafungwa wa watu wake; Yakobo atashangilia, Israeli atafurahi.
Utakuwa hauna uelewa ... Mwenzako anakwambia hakuna Mungu na wewe unamjia na manukuu ya vitabu hasivyo via mini ...
 
ninachoshukuru wao wameishia kumkosoa Mungu ila Majibu mhimu ya maswali yetu yanayotusumbua kama haya(1)Tumetoka wapi? (2)kwanini tuko hapa? Lengo ni nini hasa
(3)Tunakwenda wapi baada ya Kufa? (4)Nini kisababishi pakuwepo na Wanyama binadamu wadudu na ndege(ihali vimekuepo katka maumbile tofaut ke/me ili vizaliane??( siku wakiweza kuyajibu haya na kuacha kumkosoa Mungu tu basi nitajiunga nao.
Duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante kwa kutuletea taarifa hii.

Mi ni moja wasio amini uwepo wa Mungu kwa zaidi ya miaka kumi sasa.
Nilianza kuamini hivi toka nikiwa form two na bado ninadunda tu.

Mungu hakuwahi kuwepo, hayupo, hana sababu ya kuwepo na hata kuwepo milele.
Kwa hii post yako, nilijua tu bila kusita kua; kama siyo Kiranga atakupa "like" basi ni Scars na kweli mmojawapo kafanya hivyo yan Scars!
 
anaghadhibishwa sana na watu kama ninyi mnaemnukuu mnapoelezea misimamo yenu!...kimsingi hata yeye mwenyewe anaamini MUNGU yupo ila alikuwa anatafuta challenge na anachukia mnapo-force awe role-model wenu...ni kama mnamwengezea dhambi ya kuwa chanzo cha mpotoshaji wa binadamu wenzake
Well said mr

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom