Mzee MMJ'
Hakuna mwenye beef hapa, isipokuwa ni lazima data ziulizwe hapa huwa hatuogopi mtu, data zinazosema kuwa Jm amejiunga na kundi la Sitta, okay sasa uchambuzi wa siasa kama ninavyoijua bongo on hizo data,
Ni kwamba Sitta ana kundi lake ndani ya mtandao, kundi hilo ni strong kiasi cha kumshawishi Jm kujiunga nalo, likiwa na nia ya urais wa mwaka 2015, maana 2010 hakuna uwezekano ni lazima Muuugwana amalizie ngwe ya pili kama waliopita, Jm sasa hivi ni miaka 72, by mwaka 2015 ina maana ongeza miaka kama 8 zaidi atakuwa at least 81, Tanzania tutakuwa na waziri mkuu mwenye huo umri? Maana akishajiunga na hilo kundi watampa kazi gani wakishinda? Hawezi kuwa waziri tena, umakamu anauacha karibuni sasa niambie na hizo data watampa kazi gani?
Data latest za ndani ya bunge sasa ni Mzindakaya, kujiunga na kundi la el kutoka kiundi la asilia, hizo ndio news ndani bunge sasa hivi ndio maana kwenye rada, na richmond yuko kimyaa!
Otherwsie, tutaendelea kukata ishu hapa, kiongozi kama hafai hafai I do not care kama ni CCM au upinzani nitasema, kama jana nilivyounga mkono hoja ya wachangiaji wengine kuwa Mama Meghji wiazara imemshinda, na ninarudia kuwa hiyo sio siri ndio maana hata alipopangiwa kwenda kushiriki kwenye kampeni ya uchaguzi Tundurru, wajumbe wengine walimkataa ikabidi atolewe kwenye ujumbe huo wa CCM, kama kiongozi hafai hafai lakini lazima kuwe na ukweli kuwa hafai,
Otherwise tutaendelea kukata ishu kiroho mbaya hapa, mwenye beef tutafutane uso uso tusisumbue wananchi hapa! Yes nilikuwa kwenye forum ya jamaa nikaisimimamisha, nikaamua kutoka ikafa sasa dawa ni kuja hapa na kunilazimisha kuwa mimi ni mtoto wa JM? What a joke!
Halafu Sitta mwaka 2015 atakuwa na umri gani?