Barua kwa Mke Wangu...


Thanks mimi49 ....am humbled!!!

Thank you so much kwa kuwa mkweli . Wanawake ni viumbe tofauti sana Eeee Mungu wabariki wanawake wote na uwaongezee moyo wa kusamehe na uvumilivu zaidi.

Na infii wote wakiongozwa na Mtambuzi na Dark City waseme amen.

Thanks kwa ku appreciate who we are (Women)..we tend to forgive so easily

Heveni is such a bad girl....am sure she will fix it by tomorrow...

Ngoja nimalizie ushindi wetu Yanga wil kam bak to u!!!
 
Last edited by a moderator:
hii story inafanana na wimbo mmoja huwa nausikisikia kaimba mwanamke sijui anaitwa nani....wimbo mrefu sana,kwenye AUDI yule dada aliimba VOGUE....

Bahati Bukuku - Dunia haina huruma.


Weww wajua mkuu BAK...one day ntawaambia nilivyokutana na mwallu that is if she lets me...
Abt kitabu...kip praying for my wife n good things will come. You know what they say, "..behind every man's success (and ofcoz failure) there is a woman."

Story inafanana kabisa na wimbo wa bahati bukuku usikilize utaskia yote hayo aliyesema anaenda nje ya nchi alikuwa anaenda kuangalia mpira ila hongera mtoa mada kwa kuweza kuielezea vizuri

It is right mkuu ningependa na yeye aisome hadithi hii. Mimi na mke wangu mwallu hatukuipenda solution aliyoitoa kuhusu Mkristo ujaribiwapo. Kwa wimbo wa dini tuliona una walakini nyingi na mkono wa Mungu si mdogo kiasi kile hata ashindwe kumpa mlango wa kutokea.
Isitoshe, kosa halitengui kosa.

Siku ya kufa nyani miti yote haikubali idandiwe

Heheheh kwel mkuu. Na ujanja wangu wote kwa mkurya yule nilishindwa kufurukuta kabisa.
 
Last edited by a moderator:
nimeipenda
Mwisho imedhihirisha kuwa kimfaacho mtu chake

Thanks BADILI TABIA. Kweli chako chako aisee...

Mentor you are so strategic like PK!!mwallu sijui kama atakataa tena hapo ,kwa sababu kapata bonge la bwana!!
mwekundu ssssshhhhhhh.... #kimyakimya

Ngoja kuna NDOA mpya hapa ya Hamidini na Madame B inatakiwa iige mfano wa penzi la mfano la Mentor na Mwallu

Naam mkuu waite wote wenye ndoa zao wajifunze kwetu.
I love you so much mwallu.


Mkuu Mr Rocky dada AshaDii yupo deep mno mpaka anatisha..hiyo analysis.
Ila tia neno jiweke kwenye upande wa mwanaume useme jambo...

Hapo mwisho panipitie mbali mm uhuni nshaacha...
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
Mkuu Mentor sitaki kuwa biased na sitaki kuonekana napendelea upande wowote ila ningekuwa sina hiyo ningesema sisi wanaume tuna sijui kimdudu kinatekenya mara kwa mara. Maana unaweza ukawa na mwanamke amekamilika kila idara na anakupenda sana na anakupa kila unachokihitaji ila bado macho yetu yanatambaa kuangalia kila ndege arukaye twamtaka
Haijalishi tuko kwenye ndoa wala single au bachelor mzoefu ila hatuishi tamaa. Hatujali maumivu wanayopata wenzetu wakati wanapogundua kuwa tunacheat tena na vitu ambavyo havina Hata uzuri wa wake zetu. Hatuoni Kama tunawaumiza wenzetu ila huwa tunajifikiria wenyewe na tamaa zetu. Na mwanaume mwenzako akiwa na kitu kizuri bado tunakionea wivu natamani ningekuwa nacho mimi na sio yule yaani BAK akiwa na kitu kizuri Mr Rocky roho inadunda kwa nini nisingekuwa nacho mimi. Nitatafuta kila njia nikipate au Hata kuwa nacho one night stand ndo hayo ya Mtambuzi na mke wa mjeda
Muhimu ni kuwa heshimu ndoa yako na heshimu hisia za mwenzako jiweke kwenye moyo wake anavyoumia atakaposikia au kujua kuwa unamsaliti
Mentor ulikuwa na kila kitu Kutoka kwa mwallu ila tamaa zikakufanya utamani vya nje na kukumbushia vya zamani ambavyo ushaviacha tangu umetoa kiapo cha kuwa na huyu peke yake. Kumbe kiapo kile ulikuwa ni upepo tuu upite hukumaanisha ni mbaya sana.
 
Last edited by a moderator:
Mleta uzi uache tabia za KDF wa westgate ...kwa ufupi story ni kutoka kwenye wimbo wa Bahati Bukuku ...
 
Uko serious kabisa mkuu?

Hebu fanya haraka kuomba radhi kabla hayajakukuta...

Babu DC!!

Ulisha-retire kwani babu Dark City? ngoja nimuulize Kaizer...

Mleta uzi uache tabia za KDF wa westgate ...kwa ufupi story ni kutoka kwenye wimbo wa Bahati Bukuku ...

Ahaha...read the ending to my story. And besides I do not deny the fact kwamba idea ya hadithi hii ilitokana na wimbo huo. Read my previous comments sir!
 
Last edited by a moderator:
Ablessed umenena kweli
kwa hali ya kawaida tu hakuna mwanaume anaeweza kumsamehe mke wake kwa jambo la aibu kama hilo,na hata kama anampenda kiasi gani,bado atafikiria watu wa nje watakavomchukulia incase akisamehe,watamuona ni mwanaume wa aina gani? heshima yake kwa jamii inayomzunguka na nduguze itakuwaje? lakini sisi wanawake huwa hatujali,Mungu katupa mioyo yenye kuhimili mikiki mikiki kutoka upande wa pili
 
Last edited by a moderator:
mkuu Mr Rocky,kwanza hongera kwa kuukubali ukweli kua wanaume ni viumbe wabinafsi sana..hasa linapokuja suala la hisia
natumaini na wanaume wengine wote watakua wameelewa ulichoongelea hapa
 
Last edited by a moderator:
Yani we Mentor wewe. Yani mi na wewe tunahitaji kuwa na serıous talks.

BTW huyo dokta kama mkeo angekuwa Heaven on earth sidhani kama angetoka salama. LOL

Siku zote nlijua mwallu ni sista wa Paroko.... kumbe kijana hatare sana weye
 
Last edited by a moderator:
true that AshaDii...ndoa ni taasisi yenye changamoto sana,na inayohitaji uvumilivu wa hali ya juu..na siku zote wanawake sie ndo tunavumilia mengine makubwa na magumu kama ya mume wangu Mentor..nakubaliana na wewe kwenye no 1-6 ila kwenye no. 7 hapana,ukimuamini mtu nusu nusu unakua hauna amani kabisa
na ukiamini sana napo ndo ivo unakua dissapointed
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…