Kwa kuongezea tu na kwa msisitizo mkubwa kwako Mh Dr.Slaa...kama unasoma huu ujumbe...please please......kesi hii ina mambo mengi kwani hata kama hamtakata rufaa na mkaamua kumsimamisha Lema...bado kutakuwa na mizenge tele ya delaying tactics.....USHAURI KWAKO DR.SLAA...TAFADHALI WAKUSIMAMISHE WEWE UGOMBEE UBUNGE ARUSHA.CHADEMA WASIMSIMAMISHE MTU MWINGINE ARUSHA ZAIDI YA DR.SLAA.IKUMBUKWE KUWA ARUSHA INA MATATIZO MENGI YA MADIWANI AMBAYO HAYAJAPATIWA UFUMBUZI......PIA ARUSHA NI JIMBO KUBWA TZ.....NA NDIO MAANA CCM WANALITAKA...HASWA JK....HIVYO ASIMAME DR.SLAA MWENYEWE ARUSHA ACHUKUE JIMBO TAFADHALI...ATASAIDIA KUONDOA MIGOGORO ARUSHA KWA KIPINDI HIKI MPAKA 2015....
ANGALIZO: HATA MH.MBOWE ILIBIDI AGOMBEE HAI ILI KULINUSURU JIMBO PAMOJA NA KUWA YEYE NI CHAIRMAN NA ALISHAWAHI KUGOMBEA URAIS...HIVYO SHIME MSIKATE RUFAA NA MSIMAMISHENI DR.SLAA ARUSHA MUIMALIZE CCM.ARUSHA INAHITAJI MTU MZITO KAMA DR.SLAA......LEMA ATAENDELEA KUFANYA KAZI ZA dR.SLAA WAKATI DR.SLAA YUKO BUNGENI........this is my very important suggestion to CDM
Mimi kwa uelewa wangu mdogo tu ningeona Chadema ikate rufaa kwa sababu hukumu inamapungufu mengi sana
Kaka hapo nimekukubali umewaza na kuandika vya msingi sana.Mkuu Luteni naunga mkono ushauri wako wa CDM kisikate rufaa na kita liretain jimbo la Arusha kwa kishindo kikubwa kuliko 2010.
Lakini kwa vile Chadema ni chama cha kutetea haki, na ile hukumu sio hukumu ya haki kisheria, nashauri Chadema wafanye yafuatayo.
1. Kwanza Chadema iombe expert legal opinion toka kwa wanasheria nguli na mahiri.
2.Kuangalia uwezekano wa kuomba "Stay Off Excecution Order" toka mahakama ya juu wakionyesha intention ya kukata rufaa hivyo mahakama ya juu itatoa "stay order" kwa Lema kuendelea kuwa mbunge mpaka baada ya rufaa yake kusikilizwa!.
3. Kinachotakiwa ni kutumia nguvu za hoja kupata hiyo "Stay Order" na sio hoja za nguvu!.
4. Wakijiridhisha kuwa hili la stay order haliwezekani ndipo waamue wasikate rufaa na wasimsimamishe Lema!. Nimemsikia mkazi wa Arusha akisema hata CCM ingemsimamisha JK mwenyewe na Chadema wakasimamisha jiwe, jiwe litashinda!.
Pasco
Nazidi kukazia ushauri wangu kuwa CDM ikate rufaa kwa grounds zifuatazo:
1.Jaji haja fuata utaratibu wa kisheria wa kutoa adhabu. Adhabu ya kusimamishwa kugombea tena hakuitaja, ingawa alitumia s.114, bila yeye kuwa specific ktk kutoa adhabu.(It is fatal per se).
2.Katika hukumu yake alitumia ushahidi wa upande mmoja wa walalamikaji tu.Hakuzingatia wala kuuchambua ushahidi wa wakili wa mlalamikiwa. Kwa tendo hili jaji amekiuka the Golden principal of Natura Justice: The right to be heard (Audi alteram partem).
3.Katika kesi hii ambayo msingi wake(cause of action) ni udhalilishaji, Mtu mwenye na Locus Standi ni Dr. Burian against the whole world. Wa pili ni Lowassa. Hao waliofungua kesi ni wageni(they are strangers).katika kesi za defamation hakuna wa kuirithi.
Tujikumbushe kwenye Law of Torts:
An actionable defamatory statement has three ingredients for it to stand:
i)It must be published.
ii)it must refer to the complainant(plaintiff).
iii)It must be false.
4.Pia jaji ilibidi ajiulize juu ya ukweli au uwongo wa kauli alizosema kwenye mikutano hiyo.Kupima ukweli au uwongo wa hili mahakama ilitakiwa kumuita Dr.Burian na E.Lowassa waje wahojiwe na mahakama na mawakili wa pande zote ili kujua ukweli uko wapi. Pia ulihitajika ushahidi wa kitaalam(expert opinion) i.e DNA test ya mtoto wa Dr.Burian, ili kujiridhisha juu ya baba halali wa mtoto huyo. Ingethibitika kuwa alichosema Lema ni ukweli, basi Lema hangetiwa hatiani kwa sababu ya defense ya JUSTIFICATION(amesema ukweli).
Kwakweli hukumu hii ni kichekesho mtupu. Dawa ni kukata rufaa, si vinginevyo. CDM wakikata rufaa Lema atarudi Bungeni. Labda mahakama ya rufaa ifisadi tena.
RIP Lema, huyo ndio kisha katwa mbawa zake.
Matusi na siasa wapi na wapi? rufaa or no rufaa adabu kaipata. Hiyo kesi alijidai kwanza kujipeleka jela, akafikiri atatoka anavyotaka yeye, hakimu akamwambia NO, hapa sio mitaani.
Sasa Lema kapewa haki yake mnalalamika nini?
lema na CDM kateni rufaa wakati mnajipanga na mambo mengine. Hawa wapuuzi huwezi jua kuhusu zile kesi zingine zilizoko mahakamani. Nia zao kuua upinzani kwa kutumia mahakama.
moma2k ni shule nzuri lakini nikuulize swali dogo tu, unafikiri hayo yote Jaji hayajui?Nazidi kukazia ushauri wangu kuwa CDM ikate rufaa kwa grounds zifuatazo:
1.Jaji haja fuata utaratibu wa kisheria wa kutoa adhabu. Adhabu ya kusimamishwa kugombea tena hakuitaja, ingawa alitumia s.114, bila yeye kuwa specific ktk kutoa adhabu.(It is fatal per se).
2.Katika hukumu yake alitumia ushahidi wa upande mmoja wa walalamikaji tu.Hakuzingatia wala kuuchambua ushahidi wa wakili wa mlalamikiwa. Kwa tendo hili jaji amekiuka the Golden principal of Natura Justice: The right to be heard (Audi alteram partem).
3.Katika kesi hii ambayo msingi wake(cause of action) ni udhalilishaji, Mtu mwenye na Locus Standi ni Dr. Burian against the whole world. Wa pili ni Lowassa. Hao waliofungua kesi ni wageni(they are strangers).katika kesi za defamation hakuna wa kuirithi.
Tujikumbushe kwenye Law of Torts:
An actionable defamatory statement has three ingredients for it to stand:
i)It must be published.
ii)it must refer to the complainant(plaintiff).
iii)It must be false.
4.Pia jaji ilibidi ajiulize juu ya ukweli au uwongo wa kauli alizosema kwenye mikutano hiyo.Kupima ukweli au uwongo wa hili mahakama ilitakiwa kumuita Dr.Burian na E.Lowassa waje wahojiwe na mahakama na mawakili wa pande zote ili kujua ukweli uko wapi. Pia ulihitajika ushahidi wa kitaalam(expert opinion) i.e DNA test ya mtoto wa Dr.Burian, ili kujiridhisha juu ya baba halali wa mtoto huyo. Ingethibitika kuwa alichosema Lema ni ukweli, basi Lema hangetiwa hatiani kwa sababu ya defense ya JUSTIFICATION(amesema ukweli).
Kwakweli hukumu hii ni kichekesho mtupu. Dawa ni kukata rufaa, si vinginevyo. CDM wakikata rufaa Lema atarudi Bungeni. Labda mahakama ya rufaa ifisadi tena.
Unaweza kutukumbusha ile kesi iliishaje.sio majaji wote ni wapuuzi maana hata ile kesi ya mgombea binafsi wapo majaji walioona mgombea binafsi ni halali. Lema na CDM wasikubali huu ushauri wa kutokata rufaa.
Mkuu mimi naipenda sana M4C lakini hapo kwenye red kuna walakini. Lema hawezi kutekeleza majukumu ya Dr. Slaa hata kidogo. Tukubali kila mtu ana umuhimu kwenye chama ila Dr. Slaa kumlinganisha na Lema.... (unanipa maswali sana na uwezo wako wa kuzipambanua siasa za Tanzania)
Hujaeleweka mkuu unaweza kudadavua chama kitagawikaje hapa.Kwenye kukigawa Chama hapo kina point. Kama hawatakata rufaa na Lema akawa amezuiwa kuna dalili za kukigawa Chama.
Kuna yaliyo wazi ya kukata rufaa na ya kutumia busara sheria is not everything.Mimi naomba nitofautiane na Luteni, Nanaomba tukate Rufaa, unajua hukumu haiko sawa, na chama chetu ninaamini tunapenda kukiendesha kwa misingi ya kufuata sheria, short cut ni za CCM tusizifuate, Mungu atakuwa upande wetu na kila mtu mwenye hekima anaelewa jinsi hukumu hiyo ilivyo, ni ya Hovyo ambayo hata hakimu wa kijiji hawezi hukumu hivyo!
Naomba tukate rufaa na tutashinda, Augustine Ramadhani siyo Jaji Mkuu, Rufaa itasikilizwa vizuri tuu!