Barua kwa Dr. W. Slaa


Mkuu mimi naipenda sana M4C lakini hapo kwenye red kuna walakini. Lema hawezi kutekeleza majukumu ya Dr. Slaa hata kidogo. Tukubali kila mtu ana umuhimu kwenye chama ila Dr. Slaa kumlinganisha na Lema.... (unanipa maswali sana na uwezo wako wa kuzipambanua siasa za Tanzania)
 
Mimi kwa uelewa wangu mdogo tu ningeona Chadema ikate rufaa kwa sababu hukumu inamapungufu mengi sana

Jaji Mkuu juzi kalalamika mbele ya TV kuwa serikali inaingilia maamuzi ya mahakama. Hukumu hii ina mapungufu kwa sababu serikali ilitaka hiyo hukumu iwe hivyo. Hata wakikata rufaa ikasikilizwa na Othman Chande, bado serikali itaamua vinginevyo.
Mahakama ya wananchi ndo yenyewe kwa nyakati hizi japo ina gharama kubwa. Naamini uongozi wa juu wa CHADEMA leo utatoa maamuzi ya busara na yenye manufaa kwa chama na watanzania wapenda mabadiliko kwa ujumla.
Ntarudi jioni baada ya kusikia M4C imeamua nini.
 
Kaka hapo nimekukubali umewaza na kuandika vya msingi sana.
 
safi sana luteni ila wanajamvi nayo mawazo ya pasco ni mazuri kwa upande mmoja! Tuangalie kama stay order itakubalika, then rufaa itawasaidia hata wale watoto wanaosomeshwa na mfuko wa mbunge lema! Tunawaomba sana wanasheria wetu wakae then waaangalie kama hiyo stay order inawezekana au laa, kama haiwezekani hamna kukata rufaa! Arusha sio kama Dodoma, Arusha watu wameenda shule wanazifamahamu haki zao na wajibu wao, yaani hata kama CCM wamweke kikwete Kwenye uchaguzi Wa mbunge Arusha na CHADEMA waweke kivuli bado CHADEMA itashida! Waarusha wanajua sana mambo ya Ukombozi na pia wapo na mungu wakati wote!
 
RIP Lema, huyo ndio kisha katwa mbawa zake.

Matusi na siasa wapi na wapi? rufaa or no rufaa adabu kaipata. Hiyo kesi alijidai kwanza kujipeleka jela, akafikiri atatoka anavyotaka yeye, hakimu akamwambia NO, hapa sio mitaani.

Sasa Lema kapewa haki yake mnalalamika nini?
 
sio majaji wote ni wapuuzi maana hata ile kesi ya mgombea binafsi wapo majaji walioona mgombea binafsi ni halali. Lema na CDM wasikubali huu ushauri wa kutokata rufaa.
 

Mkuu umetupeleka shule bure, ubarikiwe!
hizo facts ulizozieleza naona kama magamba yanazijua na ndio chambo ili cdm imeze ndoano. hii kesi si ya kusikilizwa na mahakama tena! hii ni kesi ya kusikilizwa na wananchi na hukumu yao ni ya haki, maana ili kuondoa dhuluma hizi wananchi watakifuta ccm kwenye ulingo wa siasa kwa kukifanya kijinyonge kwa kukosa kuungwa mkono, Nashauri yatengenezwe mashtaka vizuri, submision ifanyike kwa wananchi, hukumu itakapotoka watakimbiana zaidi kuliko walivyomkimbia sioi na wao kupoteana kwa aibu. Mahakama hazina thamani tena kwa jamii.
 
lema na CDM kateni rufaa wakati mnajipanga na mambo mengine. Hawa wapuuzi huwezi jua kuhusu zile kesi zingine zilizoko mahakamani. Nia zao kuua upinzani kwa kutumia mahakama.
 

Umempelekea sioi hela ya kutunza familia angalau kwa leo?
 
lema na CDM kateni rufaa wakati mnajipanga na mambo mengine. Hawa wapuuzi huwezi jua kuhusu zile kesi zingine zilizoko mahakamani. Nia zao kuua upinzani kwa kutumia mahakama.

Tutapeleka ujumbe mzito mahakamani, tutachoma moto majengo ya mahakama, wasipotuelewa tutawafuata mahakimu tuwatie adabu.
 
moma2k ni shule nzuri lakini nikuulize swali dogo tu, unafikiri hayo yote Jaji hayajui?
 
Luteni Big up, umefanya kazi yako wanaolalama waache walalame bila jasho. Naomba tusaidieni hati ya hukumu kama mnayo tafadhali sana.

Ushauri ni muhimu maana najuwa CDM wanayo timu nzuri ya wanasheria ambao kupitia mashauri mbali mabali kama haya yako wataweza ku chambua na kuainisha wafanye nini.

Kama uilivyosema kuna mbinu chafu lakini hakika hazitaijenga CCM badala ya kuibomoa na kuiteketeza milele na mwisho wa siku wataanza kutumia mbinu za kivita na kuitumia Jeshi kabisa na hapo ndipo mwisho wao utakuwa umefika kikomo.
 
sio majaji wote ni wapuuzi maana hata ile kesi ya mgombea binafsi wapo majaji walioona mgombea binafsi ni halali. Lema na CDM wasikubali huu ushauri wa kutokata rufaa.
Unaweza kutukumbusha ile kesi iliishaje.
 

kama nimemuelewa vizuri alimaanisha shughuli za uhamasishaji, si ukatibu mkuu, NAWEZA SAHIHISHWA.
 
Mkuu luteni.umenena haya mawazo mwandikie Dr Slaa nakala mpe Mh lema ikiwezekana prnt na michango yetu humu wape.Lema anatakiwa kuweka maslai ya watanzania mbele kuliko ya kwake.wadau ktk hili wote mliochangia mmeweka ushabiki pembeni na kuzungumza kama watanzania,tuwe na uwezo wa kufikiri bila ushabiki wadau
 
Mimi naomba nitofautiane na Luteni, Nanaomba tukate Rufaa, unajua hukumu haiko sawa, na chama chetu ninaamini tunapenda kukiendesha kwa misingi ya kufuata sheria, short cut ni za CCM tusizifuate, Mungu atakuwa upande wetu na kila mtu mwenye hekima anaelewa jinsi hukumu hiyo ilivyo, ni ya Hovyo ambayo hata hakimu wa kijiji hawezi hukumu hivyo!

Naomba tukate rufaa na tutashinda, Augustine Ramadhani siyo Jaji Mkuu, Rufaa itasikilizwa vizuri tuu!
 
Kuna yaliyo wazi ya kukata rufaa na ya kutumia busara sheria is not everything.
 
Natumaini CDM watakuja na option nzuri. Kuna vichwa, wanasheria, wenye busara zao and together we can make something so meaningful. Sio kama magamba kuna Walozi, waongo, wazinzi, watukanaji, walafi na kila aina ya wavunja amri kumi za Muumba, ukicombine hapo nafikiri mnajua hybrid atakaetoka hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…