Katikomile
JF-Expert Member
- Jul 12, 2007
- 471
- 74
Nimekuwa nikiona matangazo ya kazi ya Barrick Gold kwa muda mrefu katika magazeti yetu, lakini nimekuwa nashindwa kuelewa hawa jamaa wanatufanya mabwege! Wenyewe wanataka waonyeshe umma wa Watanzania kwamba ni wazelendo na ndio maana wanatangaza kazi zao (cheap posts) magazetini. Mbona post kubwa kubwa kuanzia manager na kuendelea hazitangazwi?? wanaleta watu wao toka nje au kupeana kwa mtoto wa fulani (technical know WHO!).
Sasa kama leo kwenye gazeti la mwananchi eti inatangazwa kazi ya "Fuel Bay Attendant" jamani! jamani! hii si wangechukua tu vijana wa pale Bulyanhulu ama Kahama ili wawawezeshe kuliko kutangaza national-wide na ku-uwadaa umma eti wao ni Equal Opportunity Employer!
Kuna kipindi kama wana posts kama tano, mara mpishi, mara mlinzi, receiptionist, fuel attendant, truck driver n.k utakuta wanatoa post moja moja kila siku ili mradi watokee wiki nzima.
Ok jamaa wana pesa nyingi kutokana na kwamba wako kwenye stock exchange na dhahabu bwelele wanayopata hapa kwetu!
Mageti ya mgodini kila siku yanajaa vijana na wakazi wa maeneo husika wakija kuomba kazi, nyie mnawanyima eti mnasubiri kutangaza posts national-wide! Ndio maana wananchi wanakuwa na hasira na nyie na kuwaibia, Wapeni hizo cheap posts amabazo you can train them as there are some posts which dont need someone to see the inside of the class!
Nawasilisha!
Nimekuwa nikiona matangazo ya kazi ya Barrick Gold kwa muda mrefu katika magazeti yetu, lakini nimekuwa nashindwa kuelewa hawa jamaa wanatufanya mabwege! Wenyewe wanataka waonyeshe umma wa Watanzania kwamba ni wazelendo na ndio maana wanatangaza kazi zao (cheap posts) magazetini. Mbona post kubwa kubwa kuanzia manager na kuendelea hazitangazwi?? wanaleta watu wao toka nje au kupeana kwa mtoto wa fulani (technical know WHO!).
Sasa kama leo kwenye gazeti la mwananchi eti inatangazwa kazi ya "Fuel Bay Attendant" jamani! jamani! hii si wangechukua tu vijana wa pale Bulyanhulu ama Kahama ili wawawezeshe kuliko kutangaza national-wide na ku-uwadaa umma eti wao ni Equal Opportunity Employer!
Kuna kipindi kama wana posts kama tano, mara mpishi, mara mlinzi, receiptionist, fuel attendant, truck driver n.k utakuta wanatoa post moja moja kila siku ili mradi watokee wiki nzima.
Ok jamaa wana pesa nyingi kutokana na kwamba wako kwenye stock exchange na dhahabu bwelele wanayopata hapa kwetu!
Mageti ya mgodini kila siku yanajaa vijana na wakazi wa maeneo husika wakija kuomba kazi, nyie mnawanyima eti mnasubiri kutangaza posts national-wide! Ndio maana wananchi wanakuwa na hasira na nyie na kuwaibia, Wapeni hizo cheap posts amabazo you can train them as there are some posts which dont need someone to see the inside of the class!
Nawasilisha!
Sheria ya kazi umeisoma lakini????????
Sheria ya kazi umeisoma lakini????????
Mdau
Mi naona kama ungefuatilia vizuri.
Ukitaka kazi za Barrick Gold soma zaidi Guardian na Daily news ndiko wanakotoa matangazo mengi ya kazi.
Lat week wametangaza nafasi kama 6 hivi Moja ikiwepo Process plant training Superitendent.(Mdau hiki ni cheo cha juu sana mgodini,kama unamjua mtu yoyote ambae amesoma Mining Metallurgy muambie aaply mshahara wa kufa mtu.
Halafu kuna nafasi 4 za Snr.Human resources Officers nazo zimetangazwa kwenye guardian kama una vigezo aplly tu mtu wangu.
Na kuna nafasi nyingine ya mbili za Human resourses superitendent,plz aplly kama una vigezo au waambie washkaji waapply.
Nyingine ni Communication Co-odnator zote hizi zimetangazwa a week ago,ina maana ulikua huzioni unaona tu hizo za clerks ndugu yangu.
Mi nakushauri kama unatafuta kazi tuma maombi au kama kuna mtu anatafuta kazi muambie atume maombi.
Nakutakia mafanikio mema na mungu akujalie uwe shortliseted kwenye hizo nafasi.