Barrick Gold kuchangia Sh16 bilioni kwa maendeleo ya jamii |
Wednesday, 07 September 2011 21:30 |
Mwandishi Wetu/mwananchi news paper KAMPUNI ya African Barrick Gold (ABG) imezindua mfuko wa maendeleo kwa jamii na kuidhinisha Sh 6 bilioni kila mwaka. Mfuko huo ndiyo utakaokuwa kitengo cha uwajibikaji kwa jamii cha ABG. Akizindua mfuko huo jana, Mjumbe Huru wa Bodi ya Kampuni ya Barrick Gold, Balozi Juma Mwapachu alisema Bodi ya ABG imeidhinisha bajeti ya Sh16 bilioni kila mwaka kwa ajili ya mfuko huo na hivyo kudhihirisha msimamo wa kampuni wa kufanikisha maendeleo endelevu nchini Tanzania na kusaidia kuboresha maisha ya watu.Alisema uzinduzi wa mfuko huo jana utaunda uwekezaji mkubwa zaidi kwenye jamii kuwahi kufanywa Tanzania na kampuni yoyote ile. "Tunapolenga kodi ya mapato tu na au mrabaha tunasahau mchango mkubwa sana unaofanywa na kampuni hizi kwenye uchumi wa nchi, hebu chukulia mfano wa ABG imetoa ajira za moja kwa moja kwa Watanzania zaidi ya 8,800, lakini pia imefanya manunuzi ya bidhaa na huduma ya mamilioni ya shilingi, hii ni faida kwa uchumi wa nchi yetu, lazima tuliangalie hili," alisema. |
Balozi Juma Mwapachu..."Tunapolenga kodi ya mapato tu na au mrabaha tunasahau mchango mkubwa sana unaofanywa na kampuni hizi kwenye uchumi wa nchi, hebu chukulia mfano wa ABG imetoa ajira za moja kwa moja kwa Watanzania zaidi ya 8,800, lakini pia imefanya manunuzi ya bidhaa na huduma ya mamilioni ya shilingi, hii ni faida kwa uchumi wa nchi yetu, lazima tuliangalie hili," alisema.
<br /><table class="wysiwyg_dashes wysiwyg_cms_table_MsoNormalTable"><tr valign="top" class="wysiwyg_dashes_tr wysiwyg_cms_table_MsoNormalTable_tr"><td width="100%" class="wysiwyg_dashes_td wysiwyg_cms_table_MsoNormalTable_td" style="background-color: transparent"><span style="font-family: Times New Roman">Barrick Gold kuchangia Sh16 bilioni kwa maendeleo ya jamii </span></td><td width="100%" class="wysiwyg_dashes_td wysiwyg_cms_table_MsoNormalTable_td" style="background-color: transparent"><br _moz_dirty="" type="_moz" /></td></tr></table><br />
<br />
<table class="wysiwyg_dashes wysiwyg_cms_table_MsoNormalTable"><tr valign="top" class="wysiwyg_dashes_tr wysiwyg_cms_table_MsoNormalTable_tr"><td class="wysiwyg_dashes_td wysiwyg_cms_table_MsoNormalTable_td" style="background-color: transparent"><span style="font-family: Times New Roman">Wednesday, 07 September 2011 21:30 </span></td></tr><tr valign="top" class="wysiwyg_dashes_tr wysiwyg_cms_table_MsoNormalTable_tr"><td class="wysiwyg_dashes_td wysiwyg_cms_table_MsoNormalTable_td" style="background-color: transparent"><span style="font-family: Times New Roman">Mwandishi Wetu/mwananchi news paper<br />
KAMPUNI ya African Barrick Gold (ABG) imezindua mfuko wa maendeleo kwa jamii na kuidhinisha Sh 6 bilioni kila mwaka. Mfuko huo ndiyo utakaokuwa kitengo cha uwajibikaji kwa jamii cha ABG.<br />
<br />
Akizindua mfuko huo jana, Mjumbe Huru wa Bodi ya Kampuni ya Barrick Gold, Balozi Juma Mwapachu alisema Bodi ya ABG imeidhinisha bajeti ya Sh16 bilioni kila mwaka kwa ajili ya mfuko huo na hivyo kudhihirisha msimamo wa kampuni wa kufanikisha maendeleo endelevu nchini Tanzania na kusaidia kuboresha maisha ya watu.Alisema uzinduzi wa mfuko huo jana utaunda uwekezaji mkubwa zaidi kwenye jamii kuwahi kufanywa Tanzania na kampuni yoyote ile.<br />
<br />
<br />
"Tunapolenga kodi ya mapato tu na au mrabaha tunasahau mchango mkubwa sana unaofanywa na kampuni hizi kwenye uchumi wa nchi, hebu chukulia mfano wa ABG imetoa ajira za moja kwa moja kwa Watanzania zaidi ya 8,800, lakini pia imefanya manunuzi ya bidhaa na huduma ya mamilioni ya shilingi, hii ni faida kwa uchumi wa nchi yetu, lazima tuliangalie hili," alisema.<br />
<br />
</span></td></tr></table><br />
<span style="font-family: Calibri"><font size="3">My take</font></span><br />
<span style="font-family: Calibri"><font size="3">Kama mwaka jana walizalisha ounces 564,000 lets assume the same mwaka huu.</font></span><br />
<span style="font-family: Calibri"><font size="3">http://www.barrick.com/GlobalOperations/Footnotes/default.aspx</font></span><br />
<span style="font-family: Calibri"><font size="3">With 564,000 ounces kwa bei ya sasa ya 1600 usd kwa ounces unapata 1.4 trillion za kitanzania kwa exchange rate ya 1600.</font></span><br />
<span style="font-family: Calibri"><font size="3">Sasa iyo 16 billion waliotoa ni sawa na 1.1% ya mapato yao ndugu yangu Mwapachu ilo nalo la kulitetea?</font></span><br />
<span style="font-family: Calibri"><font size="3">Izo ajira 8800 kama ni kwa watanzania uliza wanalipwa tsh ngapi na madhara wanayopata kiafya kwa kwenda chini sometimes umbali wa mita 600 leave alone mionzi wanayopigwa kudhibiti wizi wa dhahabu.</font></span><br />
<span style="font-family: Calibri"><font size="3">As data zao wenyewe zinonyesha 2004 Bulya 349,864 ounces,buzwagi 189,000 ounces,North Mara 280000 ounces na Tulawaka 124743 ounces grand total ni 942000 ounces apprx</font></span><br />
<span style="font-family: Calibri"><font size="3">Jamani tupeni data za ukweli maana mara 564000 ounces mara 942000 ounces which is which</font></span><br />
<span style="font-family: Calibri"><font size="3">Ni matumaini yangu izo ounces zaongezeka on the year basis ndo maana bado mpo mnachimba</font></span><br />
<a href="http://www.tanzaniagold.com/" target="_blank"><span style="font-family: Calibri"><font size="3">http://www.tanzaniagold.com</font></span></a><br />
<span style="font-family: Calibri"><font size="3"><font color="#000000">Maombi yangu </font></font></span><br />
<span style="font-family: Calibri"><font size="3"><font color="#000000">1.Retain some of the money in Tz to stabilize our currence as iyo gold ni ya Tanzania</font></font></span><br />
<span style="font-family: Calibri"><font size="3"><font color="#000000">2.Muanze kulipa kodi ili muipiku TBL katika ulipaji wa kodi as mko na migodi mine you deserve to be topping the list</font></font></span><br />
<span style="font-family: Calibri"><font size="3"><font color="#000000">3.Mchango wenu angalau ufike 10% from 1.1% angalau nasi tufeel kuwa Gold inachimbwa Tz</font></font></span><br />
<span style="font-family: Calibri"><font size="3"><font color="#000000">Vinginevyo migogoro na wananchi pamoja na kelele za wananchi juu ya ABG hazitakoma milele.</font></font></span><br />
<span style="font-family: Calibri"><font size="3"><font color="#000000">4.Hao watu 8800 let them be paid kwa rate hU sambamba ni migodi mingine angalau Africa maana nkisema ulaya ntakuwa nimeenda mbali.You the rates that other mines get paid</font></font></span>
Huku kote ni kutapata baada ya kuwambiwa ukweli kwamba hawapo kwenye 15 ya walipa kodi wakubwa Tanzania. Wanashindwa na hata kampuni za kutengeneza bia na chibuku kwa kulipa kodi. Barick wanafaa waambiwe kwamba misaada ya namna hiyo hatuitaki kwanza walipe kodi.
Tatizo kubwa ndio lipo hapo.Kama ule mkataba W Ngeleja aliosaini na Orphir wa dola bilioni 7 hata tukija kupata mafuta bado kodi tutapata ni kidogo kutokana kiasi walicho invest.Kama ni kweli wanainvest kiasi cha mabilioni ya dola nini kinawashinda kujenga barabara ya kwenda machimboni na kuwa na ememe wa kujitegemea?Kwanini kila anayechambua swala la madini hagusii kabisa investment cost. Ingekuwa fair zaidi kama tungetaja na idadi ya pesa zinazotumiwa kwenye uchimbaji, processing na usafirishaji then tunaweza kuestimate profit. Kutoka hapo ndio tujue kiasi gani tuwabane hawa wawekezaji. Tukiandika tu kiasi kilichochimbwa na bei yake, tunakuwa unprofessional kwa sababu ukweli uko palepale kwamba kama kuchimba dhahabu hakuna gharama basi hata Nyerere angechimba.