Kutokana na majanga hayo thats why wako very prepared katika disaster compared to us, na jitihada zao hizo zimeweza kuzuia vifo vitokanavyo na baadhi ya matukio, ajali zinapoteza idadi ya watu kwetu ukilinganisha na wao vitu kama ajali ni nadra tena labda za ndege,mvua tuu zinazonyesha Taiwan na baadhi ya nchi za Asia kila siku kwa Tz au most part of Africa ingekuwa mafuriko daily, hapo sijazungumzia suala la magonjwa yanayotumaliza Africa, serikali na viongozi wetu,rushwa, so point yako ya kuwa Africa ni peponi na Asia ni Jehanam sidhani kama umekuwa na mlinganisho mzuri