Mimi hawa washosha ng'ombe walishanichosha Cheyo hafai maana ni CCM yule hana mageuzi yoyote na hilo Wilaya kama limesahaulika vile, huyu Chenge ni watu na Mtoto wa Shangazi na cheyo, Nakumbuka Cheyo mdogo alishinda lkn akamwachia mtoto wa Shangazi Chenge akapewa mahela huyo kakimbilia Kenye kununua mahindi wakati wana Bariadi maisha yao ya chini kuliko wanaTz wengine...Elimu kule inahitajika kwa sana tu...