Barclays imeinunua Benki ya Taifa ya Biashara (NBC)?

Barclays imeinunua Benki ya Taifa ya Biashara (NBC)?

Imenunua siku nyingi sana hisa zote za ABSA sio NBC. kwa vile NBC ni mali ya ABSA basi ina-own 100% hisa zote za ABSA.
 
figganigga

Kwenye ishu ya ushindani nafikiri walitakiwa wapate clearance ya Fair Competition Commission,yasijetokea mambo ya kibo gold na Tanzania Brewries
 
Last edited by a moderator:
Kuonekana kwa Mabango ya Barclays NBC labda NBC ndiyo imeinunua Barclays...Sijui bwana, Wenye nazo watasema
 
Barclays kanunua absa ambao wanamilki nbc Tanzania muda Kama wadau walivyosema, Tanzania ni minority shareholder kwa hiyo Hata wakibadili jina au kuacha ni maamuzi ya barclays , ni biashara tu kutuibia hisa zetu ni suala lingine tena msajili wa hazina ni former ceo wa nbc Tanzania

haya mambo yote sababu ni mkapa
 
Uuuzwaji wa NBC ulimtoa Mwl. machozi. By the way, ni kwanini NMB kabenki kanokadaiwa ka mafukara ambako ni katawi kalikomegeka kutoka giant NBC inafanya vizuri wakati li-giant linakufa kifo cha mende? Tatizo ni menejimenti? Au ni kitu gani?

NBC haijafa mkuu,

Kuna technical issues, expenses nyingi (kubwa kubwa hasa za IT) zinafanyikia South huku intumwa invoice, hizi zinaathiri faida.

NBC imejikuta ina deni kubwa kwa ABSA, na hili deni linaitaka pia serikali ilipe kiasi ambacho ni related na share zake au iuze share zake kwa ABSA.

Na huu ni ujanja ujanja wa kutaka kuichukua NBC mazima.
 
Hili swala toka mwaka juzi ndugu ndo unalijua leo kilichotokea ni kwamba Barclays waliinunua ABSA ya SA ambayo iko na hisa lukuki NBC so automatically Barclays ajachukua hizo hisa akapata umiliki wa NBC anyway wamechukua chao kwani kabla ya hapo si ilikuwa Barclays ndo Nyerere akaitaifisha na kuwa NBC

mkuu ni ABSA ndio wanaendesha shughuli zote za barclays africa ,na hawa ndio wamiliki wa NBc tanzania ni muda mrefu toka waanze na ABSA ni wamiliki wa barclay afrika wana uzoefu wa biashara za africa
 
Sidhani kama lengo la serikali ya Tanzania kuiachia benki ya taifa ya biashara moja ya maslahi ya taifa kupotea hivihivi tu.

Kuna juhudi zinafanyika za kuhakikisha benki hiyo inarudi mikononi mwa serikali.
 
Kwa nini wameendelea kutumia hilo jina la "National Bank of Commerce" hilo jina linauzito sana kibiashara na linainasibu hiyo benki kama mali ya serikali.
 
Nyerere kawa defeated again. Wameirudisha. Bado na CCM kuimaliza CCM na kureverse upuuzi ktk hii nchi.
 
Uuuzwaji wa NBC ulimtoa Mwl. machozi. By the way, ni kwanini NMB kabenki kanokadaiwa ka mafukara ambako ni katawi kalikomegeka kutoka giant NBC inafanya vizuri wakati li-giant linakufa kifo cha mende? Tatizo ni menejimenti? Au ni kitu gani?

Alikuwa hana sababu ya kutoa machozi. NBC ilikuwa ni benki feki iliyoundwa kutokana na benki za binafsi inkiwemo Barclays, Standard Bsnk, n.k. Tukashindwa kuiendesha na ikabidi ibinafdishwe tena.
 
Ni muda mrefu sasa ni zaidi ya miaka kumi,niliipata nikiwa zenj mji mkongwe.Serikali ilikataa kubadilisha jina ila tangu baclay waliponunua sabank ambaye ni mmiliki wa nbc automatically nbc ilikuwa mali ya baclay ila kwa aibu serikali iligoma jina lisibadilike maana baclay walitoa offer nzuri ila wadanganyika walikataa politically ati kwa vile england walitutawala sasa Wazungu wana akili wakamnunua aliyekununua mchezo kwisha!!!!
 
NBC haijafa mkuu,

Kuna technical issues, expenses nyingi (kubwa kubwa hasa za IT) zinafanyikia South huku intumwa invoice, hizi zinaathiri faida.

NBC imejikuta ina deni kubwa kwa ABSA, na hili deni linaitaka pia serikali ilipe kiasi ambacho ni related na share zake au iuze share zake kwa ABSA.

Na huu ni ujanja ujanja wa kutaka kuichukua NBC mazima.

hapa gavana inabidi atuelezee vizuri inakuwaje makampuni yaendeshe account zao kutokea south Africa? kuna siku nilitaka bank statement kutoka stanbic nilizungushwa kama week nilivyokomaa nikaambiwa haijatumwa kutoka south Africa kwa hasira nikafunga account yangu stanbic hadi wa leo sinao hamu tena.

haya makampuni ya kigeni kushika njia kuu za uchumi hapana inabidi lifanyiwe kazi lazima economic hub zote ziendeshwe na state au local companies. hengera kwa tpdc kuanza utafiti wa mafuta yenyewe badala ya kutegemea wawekezaji.
 
Ni muda mrefu sasa ni zaidi ya miaka kumi,niliipata nikiwa zenj mji mkongwe.Serikali ilikataa kubadilisha jina ila tangu baclay waliponunua sabank ambaye ni mmiliki wa nbc automatically nbc ilikuwa mali ya baclay ila kwa aibu serikali iligoma jina lisibadilike maana baclay walitoa offer nzuri ila wadanganyika walikataa politically ati kwa vile england walitutawala sasa Wazungu wana akili wakamnunua aliyekununua mchezo kwisha!!!!

hapa umechapia mkuu
 
Waingereza hawakufurahishwa na jinsi mwl.alivyozitaifisha bank za biashara ikiwemo barclays. Huu ni mtego ambao mkapa aliuingia kichwa kichwa bila kuona mbali. Lengo lao ilikuwa ni kurudisha bank yao. Bado shule zao nazo watakuja kuzirudisha tu na sisi tubaki na shule zetu za kata..!
 
ya muda sana mkuu....Barclays ilinunua ABSA ambayo ni parent company ya NBC long time...
 
Namshangaa...wote wanamilikiwa na ABSA ya South Africa, Barclays yenyewe iliuzwa kwa ABSA
Barclays ndo ilinunua ABSA ambayo ilikuwa inamiliki majority shares NBC.

The Barclays Africa Group Limited (JSE: BGA), also known as Barclays Africa or the Group, formerly Absa Group Limited, is a South African subsidiary of Barclays; it is a financial services provider, offering personal and business banking, credit cards, corporate and investment banking, wealth and investment management as well as bancassurance. ABSA stands for "Amalgamated Banks of South Africa", and is a wholly owned subsidiary of ABSA Group Limited.[SUP][4][/SUP]
 
Back
Top Bottom