Barcelona kala 4 tayari huko msilale dk ya 52 kha

Barcelona kala 4 tayari huko msilale dk ya 52 kha

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,891
HAKIKA WEMA NA FADHILI ZITANIFWATA....AMEN
SHIKAMOO MHINDI
Screenshot_20260213-001308_Chrome.jpg
 
Uwanja anauzunguka kama wa babuyake mzazi kama vile Barcelona walo 8
 
Huyuu mshenzi lookman sijui wamemtoa wapii shehe kha
Daah fedhea sana leo hela ya kamali imekuwa ngumu mnoo, yaani picha linanzaa Barcelona kaingia Msikitini na kitimoto dk 15 kabuluzwa 2
 
Huyuu mshenzi lookman sijui wamemtoa wapii shehe kha
Lilikuwa jeshi la Atalanta hilo..kaingia dirisha dogo.
Huyu jamaa alichana mkeka wangu wa milion 3 huko na ilibaki final ya Europa kati ya Atalanta na Liverkusen.Nilizuia goal tatu kufungwa mfululizo akaweka tatu peke yake final ya Europa. Nikasema kubet ni mchezo wa uongo sana😅😅😅Yaan Liverkusen ya Alonso ya moto nilikataa haiwezi ikapgwa tatu za mfululizo na Atalanta ila game inaisha nikasema mpira na kubet ni haram.
 
BORA TUBAKI KUTOA ELIMU KWENYE NGUVU ZA KIUME NA TIBA ASILI SHEHEE HUKU TUNAWACHIA WENYEWE IKIFKA MARCH KHA
 
A.M
LEOO MMEJUA KUTUTENDA AISEE
RIP BARCELONA MUNGU AMEWAPENDA ZAIDI
 
Unambiwa furaha na amani na pesa vinapatikana kwa Mungu tu
Nlikuwa nmeifunga acc yangu ya betpawa kwa miezi mitatu,leo ndo imefunguliwa ,muhindi kaipokea kwa kishindo😂😂
 
Nlikuwa nmeifunga acc yangu ya betpawa kwa miezi mitatu,leo ndo imefunguliwa ,muhindi kaipokea kwa kishindo😂😂
Kaibikirii hahahaa 😄 🤣 m nilifungua Feb 5 toka Nov 3 akanipa 240000 nkaweka odds 3 yotee akazitwaaaaaaaa

Naona leoo tena anafanya karamu na mizimuyakee pale ofisin aisee
 
Kaibikirii hahahaa 😄 🤣 m nilifungua Feb 5 toka Nov 3 akanipa 240000 nkaweka odds 3 yotee akazitwaaaaaaaa

Naona leoo tena anafanya karamu na mizimuyakee pale ofisin aisee
😂😂😂Wanangu mna bahati sana, hzo swadaka znanipita tu
 
Back
Top Bottom