pole sana, ni wengi wanaoumwa ugonjwa huo na kwa tetesi nilizozipata ni kwamba tiba yake bado haijapatikana. Kuna daktari alisema baada ya miaka mitatu anaweza kupata dawa yake na kustaafu udaktari. Vp ugonjwa wa manphobiasis ulipatiwa kinga yake lini? Watu hawaugui kabisa siku hizi.