Barbershop ni kama madanguro

Barbershop ni kama madanguro

Watu wa mikoani bwana mkishafika hapa mjini mntuharibia kwa wake zetu.
Mengine ni siri zetu unayaleta mtandaoni ili tusindikizwe kwenda saloni ama?
Yaani jamaa kanikorofisha kwa kweli !haya mambo wenyewe tunapiga kimya
 
Jana kwa mara ya kwanza niliamua kwenda kwenye barbershop moja hapa mjini Dar, sitoitaja kwa jina.Ofcourse huduma zao ni very professional.

Picha linaanza naingia tu ndani napokelewa na binti mrembo ananisalimia kwa bashasha na kunipokea mzigo wangu niliobeba kama vile mke anavofanya kwa mume akanikaribisha.

Nikaa kwenye kiti akaanza kunishika shika mashavu na nywele akanifunga lile shuka shingoni baada ya hapo akaja sasa kinyozi, akaninyoa kama ninavotaka alipomaliza akaondoka.

Yule binti akaja pale nae kaanza kuniuliza scrub vipi? Nikamwambia nifanyie akanifanyia vizuri tu kwa madoido huku tunapiga story mbili tatu.

Alipomaliza akaniuliza nikuoshe miguu nikakataa akaniuliza kwa sauti ya chini sana, je masaji vipi?

Nikamjibu hapana ila nikamuuliza unafanya kwa bei gani masaji akasema elfu 40 ila sikufanyii hapa unatafuta sehemu nyingine either Lodge au Guest ndio nakuja kukufanyia.

Nikamwambia ok niachie namba yako nitakutafuta. Baadae nikamtext nijue masaji ya vipi akasema ya mwili mzima, sasa najiuliza huko Lodge anakotaka si anataka ma mambo mengine!
mi naona madanguro yapo kila kona, sema ni mwanaume usipokuwa imara utapata shida sana:

1. maofisini - wapo wanaobomu lunch / dinner

2. wale trafiki "KE" wa barabarani - huwa wanapenda sana kuomba namba za simu za madereva "ME"

3. kanisani / msikitini - wapo wanaoomba uwasaidie mkopo halafu wanasema "sijui nikupe nini?"

4. wapo kila kona.....endeleza list hapa
 
Kazi nyingine zione na zisikie tu lakini ukweli wa mambo hii jinsia iliyoumbwa kutoka ubavuni mwetu ina vimbwanga na vitimbi vya kila aina. Inasikitisha Inahuzunisha na Inatiahuruma.
 
Jana kwa mara ya kwanza niliamua kwenda kwenye barbershop moja hapa mjini Dar, sitoitaja kwa jina.Ofcourse huduma zao ni very professional.

Picha linaanza naingia tu ndani napokelewa na binti mrembo ananisalimia kwa bashasha na kunipokea mzigo wangu niliobeba kama vile mke anavofanya kwa mume akanikaribisha.

Nikaa kwenye kiti akaanza kunishika shika mashavu na nywele akanifunga lile shuka shingoni baada ya hapo akaja sasa kinyozi, akaninyoa kama ninavotaka alipomaliza akaondoka.

Yule binti akaja pale nae kaanza kuniuliza scrub vipi? Nikamwambia nifanyie akanifanyia vizuri tu kwa madoido huku tunapiga story mbili tatu.

Alipomaliza akaniuliza nikuoshe miguu nikakataa akaniuliza kwa sauti ya chini sana, je masaji vipi?

Nikamjibu hapana ila nikamuuliza unafanya kwa bei gani masaji akasema elfu 40 ila sikufanyii hapa unatafuta sehemu nyingine either Lodge au Guest ndio nakuja kukufanyia.

Nikamwambia ok niachie namba yako nitakutafuta. Baadae nikamtext nijue masaji ya vipi akasema ya mwili mzima, sasa najiuliza huko Lodge anakotaka si anataka ma mambo mengine!
Umechelewa sana kujua mkuu .
 
UNAPOAMBIWA MKUTANE GUEST HOUSE BINAFSI NIMEWAZA MAMBO MENGI TOFAUTI
KWANZA NAJUA KALENGA SUALA LA PESA ZAIDI SABABU AKIKUFANYIA PALE SALUNI PESA KARIBIA YOTE ITAINGIA DROO ZA OFISI WAKATI ANAJUA AKIKUFANYIA NJE YA OFISI ATACHUKUA PESA ZOTE YEYE MWENYEWE.
PILI KUNA WANAUME WAKIFANYIWA MASAJI HUWA WANAPIGA SANA MAKELELE KV WANAFANYA LILE TENDO HIVYO LABDA ALIKUONA SIO MZOEFU AKAJUA UTALETA AIBU PALE YA KUPIGA MIKELELE YA MAHABA. NA HII ALIKUA ANAELEZEA DADA MMOJA KWENYE EATV KWAMBA KUNA WANAUME WAKIFANYIWA MASAJI WANAPIGA KELELE HADI WANAKOJOA MKOJO MKUBWA KWA RAHA.
TATU INAWEZEKANA KWELI PIA WANAJIUZA KWA NJIA HIYO HIVYO ALIJUA MKIWA HURU WAWILI CHCHOTE ATAKACHOKUSHAURI UTAKUBALI TU KWA KUONA AIBU.
POINT KUBWA HAPO NI SUALA LA PESA ZAIDI.
 
Jana kwa mara ya kwanza niliamua kwenda kwenye barbershop moja hapa mjini Dar, sitoitaja kwa jina.Ofcourse huduma zao ni very professional.

Picha linaanza naingia tu ndani napokelewa na binti mrembo ananisalimia kwa bashasha na kunipokea mzigo wangu niliobeba kama vile mke anavofanya kwa mume akanikaribisha.

Nikaa kwenye kiti akaanza kunishika shika mashavu na nywele akanifunga lile shuka shingoni baada ya hapo akaja sasa kinyozi, akaninyoa kama ninavotaka alipomaliza akaondoka.

Yule binti akaja pale nae kaanza kuniuliza scrub vipi? Nikamwambia nifanyie akanifanyia vizuri tu kwa madoido huku tunapiga story mbili tatu.

Alipomaliza akaniuliza nikuoshe miguu nikakataa akaniuliza kwa sauti ya chini sana, je masaji vipi?

Nikamjibu hapana ila nikamuuliza unafanya kwa bei gani masaji akasema elfu 40 ila sikufanyii hapa unatafuta sehemu nyingine either Lodge au Guest ndio nakuja kukufanyia.

Nikamwambia ok niachie namba yako nitakutafuta. Baadae nikamtext nijue masaji ya vipi akasema ya mwili mzima, sasa najiuliza huko Lodge anakotaka si anataka ma mambo mengine!
Hizi bahati mbona mimi sizipati ? Ama ulikua huna 40. Ingia pm unielekeze nikafaidi matunda
 
UNAPOAMBIWA MKUTANE GUEST HOUSE BINAFSI NIMEWAZA MAMBO MENGI TOFAUTI
KWANZA NAJUA KALENGA SUALA LA PESA ZAIDI SABABU AKIKUFANYIA PALE SALUNI PESA KARIBIA YOTE ITAINGIA DROO ZA OFISI WAKATI ANAJUA AKIKUFANYIA NJE YA OFISI ATACHUKUA PESA ZOTE YEYE MWENYEWE.
PILI KUNA WANAUME WAKIFANYIWA MASAJI HUWA WANAPIGA SANA MAKELELE KV WANAFANYA LILE TENDO HIVYO LABDA ALIKUONA SIO MZOEFU AKAJUA UTALETA AIBU PALE YA KUPIGA MIKELELE YA MAHABA. NA HII ALIKUA ANAELEZEA DADA MMOJA KWENYE EATV KWAMBA KUNA WANAUME WAKIFANYIWA MASAJI WANAPIGA KELELE HADI WANAKOJOA MKOJO MKUBWA KWA RAHA.
TATU INAWEZEKANA KWELI PIA WANAJIUZA KWA NJIA HIYO HIVYO ALIJUA MKIWA HURU WAWILI CHCHOTE ATAKACHOKUSHAURI UTAKUBALI TU KWA KUONA AIBU.
POINT KUBWA HAPO NI SUALA LA PESA ZAIDI.
Kwel kbsa
 
Mashahara Hauongezwi Kama Zinavyoongezwa Bei Nyanya Sokoni!

Mshahara Unaongezwa Kwa Mkataba tu na so Njia Nyengine..

Wakati Mo Salah anatoka Roma na Kuja Liverpool Katika Mazungumzo Alikubali Kulipwa £90,000 ambayo Kwa Wakati Huo Kulingana Na Performance Yake ilikuwa Ni Hela Ndefu Sana Kwake.

Ni Sawa Na Pogba usifikirie Kuwa Akitia Mkataba Mpya Atakubali Kulipwa Hiyo anayolipwa! Ni Lazima Atataka £350,000 au Zaidi.

Ni Sawa Na Frimino Wakati Anajiunga na Liverpool alikuwa Analupwa £100,000 ambayo Kwa Wakati Huo ilikuwa Ni Hela Kubwa Kwake! Lakini Katika Mkataba Mpya Aliyotia Saini Hivi Majuzi Ameongezewa na Kufikia £180,000 ambayo Ni wastani Wa Kiwango Chake Kwa Sasa.

Hata Hao Real au Barcelona wangemnunua Wao Mo Salah Kutoka Roma basi Kwa Alivyokuwa Wakati Huo usidhanie Kama Wangemlipa £400,000.

Kwahiyo ili Mo Salah Aongezewe Pesa Ni Lazima Aongeze Mkataba Mpya ili Adai Hela Anayotaka.
Umemaliza yote
Watu wa mikoani bwana mkishafika hapa mjini mntuharibia kwa wake zetu.
Mengine ni siri zetu unayaleta mtandaoni ili tusindikizwe kwenda saloni ama?
 
Jana kwa mara ya kwanza niliamua kwenda kwenye barbershop moja hapa mjini Dar, sitoitaja kwa jina.Ofcourse huduma zao ni very professional.

Picha linaanza naingia tu ndani napokelewa na binti mrembo ananisalimia kwa bashasha na kunipokea mzigo wangu niliobeba kama vile mke anavofanya kwa mume akanikaribisha.

Nikaa kwenye kiti akaanza kunishika shika mashavu na nywele akanifunga lile shuka shingoni baada ya hapo akaja sasa kinyozi, akaninyoa kama ninavotaka alipomaliza akaondoka.

Yule binti akaja pale nae kaanza kuniuliza scrub vipi? Nikamwambia nifanyie akanifanyia vizuri tu kwa madoido huku tunapiga story mbili tatu.

Alipomaliza akaniuliza nikuoshe miguu nikakataa akaniuliza kwa sauti ya chini sana, je masaji vipi?

Nikamjibu hapana ila nikamuuliza unafanya kwa bei gani masaji akasema elfu 40 ila sikufanyii hapa unatafuta sehemu nyingine either Lodge au Guest ndio nakuja kukufanyia.

Nikamwambia ok niachie namba yako nitakutafuta. Baadae nikamtext nijue masaji ya vipi akasema ya mwili mzima, sasa najiuliza huko Lodge anakotaka si anataka ma mambo mengine!
karibu "" da"slam mkuu ""
 
mkiingiaga mjini mna shida sana nyie wa mikoani na mkipewa vyeo ndo kabisaa utasikia nafunga saluni zote utadhani ulishikiwa bunduki kuchukua hiyo namba
haha haha
 
huku " da slam ..mke akupokee mzigo amerogwa au..?? kwanza unaweza kutangulia wewe kurudi katika pilika zako ukafika home "" ukakuta yeye bado hajarudi ""toka kazini " sasa hapo nani atakayepaswa kumpokea mwenzake ...

nakumbuka niliendaga usukumani nikashangaa kuwa ona wa mama wa kisukuma wakiwa wanawapigia magoti "" kila mwanaume wakisukuma wanaye kutana nae Njiani "" kwakweli niligeuka mtalii "" wacha niwashangae ...hahaa """
 
Ngoja nikufundishe inavyo kuwa ili siku nyingine usishangae, hiyo 40 thau nikweli ni kwaajili ya masaji tu huko mtakapoamua kwenda, haihusiani na kuduu, sasa jua kuwa wakati anakukanda wewe unakuwa mtupu na yeye anakuwa amevaa nusu nguo, anakufanyia masaji ile sahihi kabisa, sasa minyege ikipanda anakwambia kufanyia masaji mboro sh elfu 10 unaongezea pale anakufanyia, sasa hapo ndo mizuka inapanda balaa unataka ingia tunduni anakwambia ukitaka sex ongeza hamsini kwa ugwadu ulonao unaweka mezani kisha unapewa goli moja tu kisha anavaa ukiomba la pili anakwambia ongeza elfu 20. jua kuwa anazo kondomu teyari kwenye masaji box yake kabisa. Wengine wanatembea na vilainishi in case ukataka mtandao pendwa,lakini jua pia mtandao pendwa una bei yake tofauti.
Watu mnama experience balaa
 
Kweli technolojia imepanuka,nilienda Mwanza siku moja.
Nikashuka Stendi Moja ya mabasi,saa 12.30jioni hivi.Nikaenda kutafuta chumba cha kulala gest house ya jirani na stendi.
Nilipokaribia tu,dada mmoja akanidaka.Karibu kaka,tuna vyumba vizuri kwa bei nafuu,kila huduma inapatikana.
Akaomba kupokea begi langu nikagoma.
Nikamfuata nikijua ni muhudumu wa gesti hiyo,bahati yangu kumbe pale best vyumba vimekwisha,wakamwambia jaribu kwa Jirani.

Nikatoka usingizini,nikajua naingizwa town.
Akanisihi twende gest nyingine,nikaona nikikataa pale pale anaweza kupiga yowe za mwizi au kufanya vinginevyo ili tu anitoe pesa.
Nikamwambia twende sehemu nyingine.

Kwa furaha akatangulia hadi gesti iliyofuata,akauliza chumba na kuambiwa 20,000 self room.Akaniambia nilipe kwani kimebakia hicho tu.
Nikajidai kuchungulia,yeye kasimama ndani akijua atavuna kitu!
Nikamwambia mhudumu mimi nina sh.10,000/- tu.
Akanisihi sana hiyo dada nilipe.
Nilivuta kiti pale mapokezi nikakaa na kumuuliza,hivi wewe ni nani mbona unanifuata kila mahali unanijua?

Akapigwa mshangao,kwa aibu aliondoka.Baada ya dakika kama kumi,muhudumu yule akaniambia leo ungeingia mjini.Ila usilale hapa maana ataita vijana wakufuate usiku.
Niliondoka nikapanda Boda boda nikahama mtaa.
Mjini shule!
 
Back
Top Bottom