Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 473
- 1,682
Nitafurahi sana Baraza la Mawaziri likiwa hivi, watu wa kazi kabisa hawa
1. Pro Kitila Mkumbo - Waziri Mkuu
2. Jumaa Aweso - Waziri wa Maji
3. Hussein Bashe - Waziri wa Kilimo
4. David Kafullila - Waziri wa Mipango na Uwekezaji
5 Waziri wa Viwanda na Biashara - Kadogosa
6 Michezo na Utamaduni - Prof Palamagamba
7 Antony Mavunde - Madini
8. Lukuvi arudishwe ardhi
9 Nishati - Januari Makamba
10.Ulega abakie - Ujenzi
11. Paulo Makonda - Mambo ya Ndani
12. Mawasiliano - Prof Makame
13. Mambo ya Nje aendelee huyu wa sasa
14.Albert Chalamila - Tamisemi akakomeshe urasimu na nidhamu ktk Halmashauri
15 Waziri wa Sheria atafutwe mwingine
Kikosi hiki hata Barcelona anakufa
1. Pro Kitila Mkumbo - Waziri Mkuu
2. Jumaa Aweso - Waziri wa Maji
3. Hussein Bashe - Waziri wa Kilimo
4. David Kafullila - Waziri wa Mipango na Uwekezaji
5 Waziri wa Viwanda na Biashara - Kadogosa
6 Michezo na Utamaduni - Prof Palamagamba
7 Antony Mavunde - Madini
8. Lukuvi arudishwe ardhi
9 Nishati - Januari Makamba
10.Ulega abakie - Ujenzi
11. Paulo Makonda - Mambo ya Ndani
12. Mawasiliano - Prof Makame
13. Mambo ya Nje aendelee huyu wa sasa
14.Albert Chalamila - Tamisemi akakomeshe urasimu na nidhamu ktk Halmashauri
15 Waziri wa Sheria atafutwe mwingine
Kikosi hiki hata Barcelona anakufa