liliani wasira amewasaliti watanzania kwa kumkana baba yake wasira na ccm ambayo ndio imemtunza yeye na familia yake na kuungana na hawa chadema ambao hawajawahi kumlipia hata senti ya ada ya shule sembuse kumlisha chakula.liliani utubu kuwasaliti watanzania na baba yako wasira
Umasahau kuwa sreven wasira alikuwa mbunge wa nccr