Baraza la mawaziri

Baraza la mawaziri

Hataki kutabiriwa.:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:
 
Achen amalize harusi ya miraji kwanza leo,thn mtatangaziwaa..
 
naamini atawatangaza kwenye hotuba ya mwisho wa mwezi
tuwe na subira
 
Kila kitu kina utaratibu wake na sio kukurupuka tu,aliyekuambia amegoma kutangaza baraza lake la mawaziri ni nani? au unatafuta habari?.Kuwa na subira utawajua.
 
Majina yatatoka kuelekea bunge la katiba,na hamtajua mjadili nini muache nini.
 
Ni kiongozi shupavu, mpenda watu wote bila ubaguzi huyu. Ndo maana anavuta vuta kidogo ili wale waliojiandaa kupeleka aksante zao ziwe nono. Kama kuteuliwa walitoa, je kupokea si lazima waoneshe shukrani?
Tz bana. Kila jambo ni issue. Awatangaze au asiwatangaze, sijaona faida yao. After all si wataanzia tangu siku mwenzake alipopigwa chini? Arrears kibao, tena bila jashooo.
 
Jamani mkulu kagoma kutangaza baraza lake lamawaziri hii inaonyesha taswira gani je kumbe bila hao watano kwepo nchi inaweza kusonga mbele tu

Wewe ndugu yangu Petro nakushangaa sana, jina zuri halafu mambo madogo tu ya kawaida unashindwa kuyaona vizuri. Hivi tuseme kwa mfano wewe ukipewa kukaimu nafasi ambayo iko wazi, na ni kubwa kama ya u-waziri, unafanya mchezo wakati nafasi iko wazi na watu wanatafutwa waijaze, na wakati huo wewe unajua kuwa chochote kile chaweza kutokea, hata wewe mwenyewe ukawa waziri mteule all of a sudden? Hizo nafasi za hao mawaziri wanne kuna watu wamepewa kuzikaimu na wanachapa mzigo kiwanggo ambacho katika hali ya kawaida, hata ungeweka mawaziri wawili wasingeweza kufikia kiwango hicho kilichopo sasa hivi kwenye wizara hizo. Issue ni simple kwamba watu wanatafuta unga kwa sababu wanajua mkulu karibia ataitika. Hizo wizara usidhani kuwa ziko tupu, zina watu wanakaimu na watakuwa wanachapa mzigo wa uhakika pengine kuzidi hata kipindi walipokuwepo mawaziri wake. Mimi nawapongeza sana na kuwatia moyo kuwa atakayebahatika kati ya hawa wanaokaimu sasa hivi, basi aendeleze mtindo huo wa ufanisi ofisini. Hongera, zao kweli gap la mawaziri wanne halionekani kabisa, hii inaonyesha wanafanya kazi vizuri sana.
 
Jamani mkulu kagoma kutangaza baraza lake lamawaziri hii inaonyesha taswira gani je kumbe bila hao watano kwepo nchi inaweza kusonga mbele tu
Hapo mkuu ndo utaona kuwa sera za CDM zinatekelezeka,walishasema siku nyingi kuwa hakuna umuhimu wa manaibu waziri
kwani kazi yao ni kujibu maswali bungeni.
Mawaziri walijiuzuru wanne kwa mpigo bado nchi haikuteteleka na mambo yanaenda kama kawa,wizara zinaendeshwa na manaibu,jiulize mawaziri wakiwepo kazini manaibu wanafanya kazi gani kama siyo kututwisha mzigo wa bure sisi walipa kodi?
 
Naskia ukiwahonga tiss shilingi kadhaa unateuliwa kuwa waziri.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom