Baraza la mawaziri

Baraza la mawaziri

Vuta subira,rais akitangaza baraza la mawazir si itasikika tu?kwani atafanya siri?wewe haraka ya nini?:boxing:.
 
Vuta subira,rais akitangaza baraza la mawazir si itasikika tu?kwani atafanya siri?wewe haraka ya nini?:boxing:.
Wizara ya michezo apelekwe magufuri ili afufue michezo yote iliyokufa kama Ndiondi Riadha mpira wa mikono Pete na kikapu
 
Kwani Hilo ni Baraza jipya ? au ni Baraza za kujazia mapengo ya akina Kagasheki Nchimbi na wenzao ? au huenda ni Baraza la pangua pangua huyu nenda pale wewe njoo hapa nk ? Kama ikitokea ikawa hivyo Waziri Magufuri apelekwe kwenye michezo Nina uhakika Olympic wachezaji wataludi na medali hata Taifa star itacheza kombe la Dunia
 
jamaniii makatibu wakuuu ndo watendaji wa wizara mawaziri ni political positions hawana deal wacha wakae pembeni nchi isonge mbele
 
Hana wa kutetea maslahi yake humo wizarani hivyo anatafuta hata wasio na elimu dizaini ya kina Mulugo ili awapike na kuwapandisha vyeo!
 
kagoma kutangaza,tatizo kwenye katiba hakipo kipengele cha kumlazimisha kuwachagua mawazili
 
Back
Top Bottom