chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,224
- 20,990
Nasikia tetesi za mabadiliko ya Baraza la mawaziri.
Namshauri mama asimuache Kalemani, kwa muda wote ameacha Tanesco bila kukaguliwa hesabu wakati anajua Tanesco inameza zaidi ya trilioni ishirini za nchi kwenye mradi wa bwawa la Stiegler's, mabilioni mengine pia.
Kuna uwezekano huko kuna uchotaji mkubwa wa pesa.
Kandarasi zote na sub contract za stiglers zikaguliwe kwa kuwa mwendazake alikuwa na tabia ya kuchomekea kampuni zake katika tenda za miradi ya kitaifa.
Pia tuelezwe ile miti iliyokatwa pale selous ilipelekwa wapi, nani kauziwa, pesa ilipelekwa wapi.
Hii iende kwa standard gauge railway, shirika la reli halijakaguliwa japo linatazamiwa kumeza trilioni zaidi ya 20, kama hapakaguliwi maana yake kuna watu wameweka mjira wa kula, hawataki uguswe.
ATCL pia
Mwanasheria Mkuu wa serikali ndiye alisimamia sheria kandamizi na kusimamia kesi kandamizi dhidi ya watanzania, bila shaka mtu huyu ni irrelevant kwa awamu ya sita inayofata sheria pamoja na haki za binadamu na utu.
Huyu aliyetunga sheria za kidikteta ili kuustawisha atupishe mapema, katiba ilivunjwa mbele ya macho yake, sheria zilivunjwa akiona, wananchi waliozea gerezani akinywa waini.
Namshauri mama asimuache Kalemani, kwa muda wote ameacha Tanesco bila kukaguliwa hesabu wakati anajua Tanesco inameza zaidi ya trilioni ishirini za nchi kwenye mradi wa bwawa la Stiegler's, mabilioni mengine pia.
Kuna uwezekano huko kuna uchotaji mkubwa wa pesa.
Kandarasi zote na sub contract za stiglers zikaguliwe kwa kuwa mwendazake alikuwa na tabia ya kuchomekea kampuni zake katika tenda za miradi ya kitaifa.
Pia tuelezwe ile miti iliyokatwa pale selous ilipelekwa wapi, nani kauziwa, pesa ilipelekwa wapi.
Hii iende kwa standard gauge railway, shirika la reli halijakaguliwa japo linatazamiwa kumeza trilioni zaidi ya 20, kama hapakaguliwi maana yake kuna watu wameweka mjira wa kula, hawataki uguswe.
ATCL pia
Mwanasheria Mkuu wa serikali ndiye alisimamia sheria kandamizi na kusimamia kesi kandamizi dhidi ya watanzania, bila shaka mtu huyu ni irrelevant kwa awamu ya sita inayofata sheria pamoja na haki za binadamu na utu.
Huyu aliyetunga sheria za kidikteta ili kuustawisha atupishe mapema, katiba ilivunjwa mbele ya macho yake, sheria zilivunjwa akiona, wananchi waliozea gerezani akinywa waini.