Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
Unaonaje wizara kama tatu hivi wangepewa wapinzania waonyesha utendaji, ingawa kule Tanzania visiwani hatujui tofauti ya utendaji serikalini kati ya wanaotoka CCM na wanaotoka CUF.
Mkuu hakuna utendaji unaopimwa kwa viongozi/wawakilishi watatu wa upinzani kupokea uwaziri wakati tuna ile dhana ya collective responsibility chini ya chama tawala.... maana yake utakua umewafanya hao mawaziri waripoti kwa CCM na vikao vya baraza la mawaziri vinafuata miongozo ya kamati kuu cha chama twawala............. especially kwa rais huyu wa sasa
it will be suicidal to chadema