Baraza la Mawaziri la GHETTO

Baraza la Mawaziri la GHETTO

watu wanagomea posts... Mwisho wa siku hutwishwa zigo la dhambi lisilowahusu...
 
kama vipi tukae hivihivi tu, makatibu ndio waendeshe wizara, sema katiba tu.
 
Kwa sasa ni kwa kuwa katiba haimruhusu rais kumteua waziri kutoka nje ya wabunge wa CCM,vinginevyo mh.rais haoni anaefaa kuwa waziri ndani ya wabunge wa CCM. Na hii ndo maana imempa tabu mh.rais kuchagua mawaziri.
 
Mkuu mbona unauliza jibu we we umewahi kuona wapi nchi hamna waziri fedha mambo ya ndani na waulinzi ckuzote hizo jk katoa mpya
 
Majina ya mawaziri watarajiwa lazima yapitishwe na sangoma kule bagamoyo ndio maana yamechelewa; lakini inasemekana January na Mbarawa watapata wizara kamili!!!
 
Mkuu mbona unauliza jibu we we umewahi kuona wapi nchi hamna waziri fedha mambo ya ndani na waulinzi ckuzote hizo jk katoa mpya
 
Mkuu mbona unauliza jibu we we umewahi kuona wapi nchi hamna waziri fedha mambo ya ndani na waulinzi ckuzote hizo jk katoa mpya

katiba na rasimu ya katiba mpya vinasemaje kuhusu wizara kukaa bila waziri? for how long. tunajuwa jimbo linaweza kukaa bila mbunge kwa siku 90 kabla ya kuitishwa uchaguzi mdogo. vipi kuhusu wizara kutokuwa na waziri?
 
vyombo vya habari vimeshadadia wee mpaka sasa naona vimesanda. kila mwandishi alikuwa akijinasibu kivyake lakini wamechoka. wengine wakasema jana ndo tungejuwa nani ni nani na nani siyo nani, lakini wapi.

sasa nataka kujua, hili baraza 'jipya' la mawaziri linaandaliwa ghetto?
Magwanda analilia Baraza la Mawaziri la Serikali ya CCM...
 
katiba na rasimu ya katiba mpya vinasemaje kuhusu wizara kukaa bila waziri? for how long. tunajuwa jimbo linaweza kukaa bila mbunge kwa siku 90 kabla ya kuitishwa uchaguzi mdogo. vipi kuhusu wizara kutokuwa na waziri?
Kazi ya Naibu Waziri ni nini?
 
Rais dhaifu,Baraza la mawaziri DHAIFU!
;

Wapinzani Dhaifu, Vyama Mbadala Dhaifu, Wafuasi dhaifu, waropokaji JF Dhaifu, si lazima nchi iwe dhaifu, Tena kama wananchi wake watakuwa kama wewe.
 
Magwanda analilia Baraza la Mawaziri la Serikali ya CCM...

Kazi ya Naibu Waziri ni nini?

...naona umeibuka kutoka ghetto. tupe updates mkuu.

btw hakuna kitu kinaitwa serikali ya ccm. kuna serikali moja tu: serikali ya tanzania
 
ILE kazi ni nyepesi sana,sema watu wengine wana yao,kwanza mawaziri waliotoka wanajulikana mikoa waliyotoka na hivyo na replacement lazima iwe watu (wabunge) wa mikoa hiyohiyo.kama alijiuzuru alikuwa wa kagera atatoka huko ila wizara siyo lazima iwe ileile.yaani ni kazi ya dakika tano kwisha.
 
Ukiona Mweshimiwa Rais amechelewa kutoa majina ya mawaziri,ujue waliojiuzulu walikuwaMIZIGO kweli,Rais bado anatafakari inside CCM Nani c Mzigo ampe uwaziri haoni,Hatari Sanaa ndani ya CCM, but naamini mawazir watakaotajwa Na kubadilishwa,watashangaza UMMA
 
Back
Top Bottom