Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Mungi na Maige ni watu wawili tofauti hata kulaanika kwao kutakuwa tofauti.u mean MAIGE amelaanika?atalaanika au analaanika?coz ameuza twiga na amenunua X 6 bmw
Mkuu unaamini kwamba Waziri wa Maliasili na Utalii peke yake anaweza kuuza hata fisi achilia mbali twiga na akaruhusu ndege tena ya kijeshi ikatua na kuchukua fisi wetu?