Mheshimiwa Jakaya Kikwete amedai kuwa baraza lake jipya la mawaziri halitakuwa na mwanaume hata mmoja. Amesema kuwa kuanzia mawaziri hadi manaibu wote watakuwa wanawake ambapo waziri mkuu atakuwa ni Vicky Kamata.
Yaap na zinasema baraza zima la mawaziri ni wanawake...waziri lazima awe mwanamke!!! kwa hiyo hata Rais ni lazima awe!!!???
welcome to jukwaa la jokes hili!!!
Mheshimiwa Jakaya Kikwete amedai kuwa baraza lake jipya la mawaziri halitakuwa na mwanaume hata mmoja. Amesema kuwa kuanzia mawaziri hadi manaibu wote watakuwa wanawake ambapo waziri mkuu atakuwa ni Vicky Kamata.