akashube
JF-Expert Member
- Dec 24, 2009
- 401
- 23
Mheshimiwa Jakaya Kikwete amedai kuwa baraza lake jipya la mawaziri halitakuwa na mwanaume hata mmoja. Amesema kuwa kuanzia mawaziri hadi manaibu wote watakuwa wanawake ambapo waziri mkuu atakuwa ni Vicky Kamata.
Hii ni katika kuimarisha usawa wa jinsia nchini.
Hii ni katika kuimarisha usawa wa jinsia nchini.