Lekakui
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,451
- 589
aafu angalia wizara aliopewa sina uhakika kama atamaliza miezi mitatu hakujazuka kutokuelewana ,huyu nape ni mkato mkato na ubabe ,na ni mmoja wa asiekubali ushauri hapa kazi tu !
Kauli nyingi za nape ni za kulazimisha na zilizojaa utata aafu mwengine ni yule mwiguru sasa naamini mwaka huu tutaona mambo ya ajabu zaidi kama uliona ajabu ya kikwete utastaajabu ya magufuli na huyu mdini nae amepata uwaziri mtu ambae hafai kuwemo ndani ya serikali ya muungano lukuvi ,wazenji hawataki hata kumuona haswa kwa hotuba yake iliyonaswa ndani ya kanisa ,leo amekuwa waziri tena ,waislamu wanayo kazi,ila kwa zanzibar watazidi kupiga makelele kuwa wanataka na kudai nchi yao.
kwenye hilo barazaaa nape ndo mwenye iq kubwa kuliko wenzake,uchaguzi wa mwaka huu kuwezesha goli la mkono was almost a nightmare,but amemanage