Baraka da Prince umeanza kuzingua na haya mashauzi ya kike

maxresdefault.jpg

Msanii wa muziki, Barakah Da Prince, amefunguka na kusema kuwa yeye si shabiki na wala hapendi muziki anaoufanya rapa na mzaliwa mwenzie wa Mwanza Young Killer Msodoki.

Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo ‘Siwezi’ ameiambia Times Fm, kuwa hapendi muziki wala hajawahi kupenda kazi yoyote ya Msodoki.

“Sijawahi kupenda muziki anaoufanya Killer,” alisema Barakah. “Mi sio shabiki yake kabisa, najua ndio anatokea home na nini lakini sipendi muziki wake,”

Katika hatua nyingine amesema rapa anayemkubali zaidi ni Young Dee kwa kuwa anauwezo wa kubadilika kulingana na Mazingira.
Ndo nani huyu?
 
Aina ya muziki unaofanywa na YOUNG KILLER ni mziki unaopendwa na watu wenye AKILI KUBWA..Je huyo kijana yuko na AKILI KUBWA?

Miziki inayopendwa na watu wenye uwezo wa kufikiria ni kama ya FID Q, SONGA, ONE THE INCREDIBLE na wenzake..pia WEUSI.
 
maxresdefault.jpg

Msanii wa muziki, Barakah Da Prince, amefunguka na kusema kuwa yeye si shabiki na wala hapendi muziki anaoufanya rapa na mzaliwa mwenzie wa Mwanza Young Killer Msodoki.

Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo ‘Siwezi’ ameiambia Times Fm, kuwa hapendi muziki wala hajawahi kupenda kazi yoyote ya Msodoki.

“Sijawahi kupenda muziki anaoufanya Killer,” alisema Barakah. “Mi sio shabiki yake kabisa, najua ndio anatokea home na nini lakini sipendi muziki wake,”

Katika hatua nyingine amesema rapa anayemkubali zaidi ni Young Dee kwa kuwa anauwezo wa kubadilika kulingana na Mazingira.
Huyu hana future kwenye mziki wa tz, kwanza mshamba fulani, mpenda figisu asiyeweza kufunga zip ya pants zake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom