La rwandagari left hand drive hilo?!
Uamuzi huu ni baada ya kuharibiwa gari mara kadhaa na daladala, bodaboda, na bajaj na mara nyingi wanakimbia.
Mmoja ndiyo nimefanikiwa kumtia mkononi na kesi iko police msimbazi# bullet never lies.View attachment 418070
Uamuzi huu ni baada ya kuharibiwa gari mara kadhaa na daladala, bodaboda, na bajaj na mara nyingi wanakimbia.
Mmoja ndiyo nimefanikiwa kumtia mkononi na kesi iko police msimbazi# bullet never lies.View attachment 418070
Ni hivi, atayenichokoza na kuanza kunibishia kwa kosa/makosa aliyotenda kwa uzembe wa kuto kufuata sheria za usalama barabarani; basi sina budi kutumia mguu wa kuku ili tuweze kuelewana haraka na kuokoa muda wa kubishana.Jinai unayo tayari, maana umekusudia! Nenda mwenyeweeeee!
Ni hivi, atayenichokoza na kuanza kunibishia kwa kosa/makosa aliyotenda kwa uzembe wa kuto kufuata sheria za usalama barabarani; basi sina budi kutumia mguu wa kuku ili tuweze kuelewana haraka na kuokoa muda wa kubishana.
cha ajabu watu wanamiliki simu za bei mbaya kuliko hii kirikuu.Nami nipo mbion kununua hii mambo ya kuwa na Gari la million 12 halafu bastola ya 1 up to 2m ukose sio fair hii kitu ukitoa watu wanakaa kimya hyo yako ni aina gan
Uamuzi huu ni baada ya kuharibiwa gari mara kadhaa na daladala, bodaboda, na bajaj na mara nyingi wanakimbia.
Mmoja ndiyo nimefanikiwa kumtia mkononi na kesi iko police msimbazi# bullet never lies.View attachment 418070
Nimekumbuka sana huyu jirani yangu aisee.......Muulize mabina ilimsaidia nini.
[HASHTAG]#nguvuyauma[/HASHTAG]