Kyamkwikwi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 441
- 146
Mwanza/Bukoba/Kampala usithubutu kupita, kuna kipindi basi ya abiria kidogo ianguke ilipodumbukia katika shimo lililokuwa katikati ya barabara limefunikwa na maji ya mvua. Basi ilikatika spring na abiria wakakomea hapo safari yao. Yalikuwa mateso!