pappilon
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 3,192
- 3,577
Jamani eeh, hizi nchi zetu za 5th world hakuna barabara za lami, barabara ziko first world. Sisi tunajenga njia za msimu tu.
barabara usiyoweza kwenda 250km/h bila kuacha njia au kupasua tairi huwezi kuiita barabara.., na monaco formula 1 wanakoendeshea magari yao mtaani wakienda hadi 300km/h tuziitaje?
ukitaka kujua kiwango cha barabara kinacvyotakiwa kuwa, omba uendeshe kiugonjwa cha moyo chako kwenye runway hapo JNIA, then ndio utaelewa kwa wenzetu lami zikoje..,
wakati sisi tuna mikeka, yenye marinda marinda, wenzetu wana makapeti yaliyonyooka.
Umesomeka mkuu