Barabara zenye viwango na imara Tanzania

Barabara zenye viwango na imara Tanzania

Bongo hamna barabara hata moja nzuri ya kujivunia East Africa..Hamna!!!
 
Ipo pale shanti town kilimanjaro moshi ni zuri sana haina magari kabisa,huo ndiyo uzuri wake au ile ya mwanza ya kuingia kwa mkuu wa mkoa na kutoka kwake
 
Tukiacha masihara na kujichua Tanzania tumeachwa bali sana kwa miundombinu ya usafiri kama barabara , bandari na viwanja vya ndege hapa Afrika Mashariki hii ni kiwastani wa urefu upana na ubora kiujumla kutokea za mijini hadi za masafa marefu. Anaebisha anitajie barabara mbili tu basi

Eeh!
Dar-Tunduma, Dar-Namanga, Dar-Mwanza! Wee vipi, au unamaanisha barabara kivipi?
Unataka za Uk kina M40, M20 au!
 
Tukiacha masihara na kujichua Tanzania tumeachwa bali sana kwa miundombinu ya usafiri kama barabara , bandari na viwanja vya ndege hapa Afrika Mashariki hii ni kiwastani wa urefu upana na ubora kiujumla kutokea za mijini hadi za masafa marefu. Anaebisha anitajie barabara mbili tu basi
Ndugu yangu umeisha fika kenya na uganda nakutembelea sehemu mbalimbali?ungekuwa umetembelea hizo sehemu hizo usingeandika uzi huu.mimi nimebahatika kuishi huko.
 
Muhimbili operates on 66 heart patients in 7days.

Saves Sh1.3bn, Emerges strongest among EA public hospitals.
JK-Mtoto-16May2015%281%29.jpg

President Jakaya Kikwete visits six year-old Habiba Khalfan Lipande at Muhimbili National Hospital after surgeons successfully treated her by plugging a vent in her heart using the new technology which needs no open surgery. Habiba comes from Mavumba village in Morogoro Region. (Photo: Freddy Maro of State House)


The Cardiac Centre at the Muhimbili National Hospital (MNH) has succeeded in filling holes in patients’ hearts by using a special device without opening up the chest as is usually done, medical reports at the MNH have confirmed.

Dr Hussein Kidanto, acting director general of the hospital, said that the use of special devices to treat heart ailments started last months, with 18 patients put to scanning on heart blood vessels and four being treated of blocked vessels.

A major treatment was to fill up a hole in the heart to allow blood vessels to reach a hole, which some infants are born with such a condition, he said.

In conducting those operations, specialist doctors at MNH worked with visiting heart specialists from the Prince Sultan Cardiac Centre in Riyadh, kingdom of Saudi Arabia, who paid a medical visit at the national facility from May 8 to 16, invited via the good offices of Muntanda Islamic Trust of Britain.

Soma zaidi: Home

Sasa sema uliyaona hayo kabla ya Kikwete? unajuwa ni nini hicho?


DSC03097.jpg


Ndio barabara hizo Mkwere
 
east africa -uganda na kenya tu mkuu-tafakari
ni ufisadi tu uliotamalaki kila sehemu!barabara zote tulizojenga sisi si barabara bali zimepakwa lami tu!barabara japo zinazo itwa barabara ni za mcc ambazo hutukuzisamamia sisi,aibu kubwa kwa magufuli kodi zetu zimeishiwa kuliwa na wajanja ushahidi uko wazi!
 
Hizi Barabara za Lami CCM wanazotamba nazo zinatuharibia magari, ni heri barabara za vumbi, nimetoka Singida kuja DSM kila baada ya KM chache wameweka Rasta, hizi Rasta zinaharibu sana haya magari yetu ya bei rahisi, wengine hatujamaliza hata mikopo. Hivi hamuwezi kuweka matuta ya kawaida na Vihashiria, ukipunguza mwendo kwenye rasta unaweza kusababisha ajali. Hizi barabara ni kodi zetu acheni kuziharibu sio kila mtu anaendesha Prado.
 
Wakati tunapata uhuru China na Tanzania tulikuwa tuko Sawa kiuchumi leo hii china wanabarabara zipitazo juu ya milima miezi sita iliyopita wamejenga madaraja baharia gar zinapita
 
Rasta na bums zimewekwa pamoja... Hasa Maeneneo ya mijini ambako unatakiwa uendeshe 50km/hr, sasa kama unapita kwenye rasta na 130,180. Kuisha kwa tairi ni kosa la halmashauri yako ya maamuzi.
 
Wakati tunapata uhuru China na Tanzania tulikuwa tuko Sawa kiuchumi leo hii china wanabarabara zipitazo juu ya milima miezi sita iliyopita wamejenga madaraja baharia gar zinapita

Haiwezekani, labda ungesema korea but not china.
Back to topic: up to now ni kuwa ccm hawana chao, je watakubali kuachia madaraka?
 
Balabala basi hizi hamnakitu ghalama zilizotumia hazifaanani na ubola wake watanzania hadi kichefuchefu et Magufuli Magufuli.
 
CCM haijajenga hata km moja ya barabara . Selikali ndio imejenga na niwajibu wake kufanya hivyo . Elimu .
 
Hizi Barabara za Lami CCM wanazotamba nazo zinatuharibia magari, ni heri barabara za vumbi, nimetoka Singida kuja DSM kila baada ya KM chache wameweka Rasta, hizi Rasta zinaharibu sana haya magari yetu ya bei rahisi, wengine hatujamaliza hata mikopo. Hivi hamuwezi kuweka matuta ya kawaida na Vihashiria, ukipunguza mwendo kwenye rasta unaweza kusababisha ajali. Hizi barabara ni kodi zetu acheni kuziharibu sio kila mtu anaendesha Prado.

Patakuwa jimboni kwa tundu lisu, hizi rasta wala haziwekwei na tan road wanaweka wanavijiji,
 
Kilometa moja ya barabara ya lami inatengenezwa zaidi ya 1b ambayo ni kiwango cha kimataifa! Lakini barabara hizi zina muda wake zinatakiwa kuishi! na zisipoishi muda uliokusudiwa kuna sababu zifuatazo:-

1. Kunashida ya kujengwa chini ya kiwango.

2. Kunashida ya kupatiwa matunzo.

3. Kunashida ya kupita vitu vizito kuliko uwezo wa barabara.

Tafakuri hii inaweza kuondoa sifa za kijinga anazopewa Magufuli, na angekuwa waziri wa serikali kama china anahukumuwa adhabu kali sana.

Watanzania wengi elimu yetu msingi wake mbovu kwahiyo mtu anayekariri anaonekana kama mwenye akili haina tofauti na mwenye kuzungumza kiengereza.Tubadilike tujitambue.

Ubadhilifu wa madaraka.

Barabara chini ya kiwango kuna rushwa n.k.
 
mfano bara bara ya mbagala toka 2007 inajengwa tu
 
Kilometa moja ya barabara ya lami inatengenezwa zaidi ya 1b ambayo ni kiwango cha kimataifa!!!!Lakini barabara hizi zina muda wake zinatakiwa kuishi!!!!!!!na zisipoishi muda uliokusudiwa kuna sababu zifuatazo:-

1. kunashida ya kujengwa chini ya kiwango
2.kunashida ya kupatiwa matunzo
3.kunashida ya kupita vitu vizito kuliko uwezo wa barabara

Tafakuri hii inaweza kuondoa sifa za kijinga anazopewa Magufuli, na angekuwa waziri wa serikali kama china anahukumuwa adhabu kali sana

Watanzania wengi elimu yetu msingi wake mbovu kwahiyo mtu anayekariri anaonekana kama mwenye akili haina tofauti na mwenye kuzungumza kiengereza.....Tubadilike tujitambue

Ubadhilifu wa madaraka

Barabara chini ya kiwango kuna rushwa n.k

Inaelekea unaandikia mkono wa mavi au macho yako yanamakengeza hauoni vizuri...hakuna mtanzania utakayemdaganya kuhusu barabara...hadi mwenyekiti wako wa Chadema anajua kazi iliyofanywa na huyu bwana mkubwa na alishampa sifa kedekede...hebu pita humoo👇 uone usivo na akili

http://youtu.be/j0xaIuEaX18
 
Inaelekea unaandikia mkono wa mavi au macho yako yanamakengeza hauoni vizuri...hakuna mtanzania utakayemdaganya kuhusu barabara...hadi mwenyekiti wako wa Chadema anajua kazi iliyofanywa na huyu bwana mkubwa na alishampa sifa kedekede...hebu pita humoo uone usivo na akili

http://youtu.be/j0xaIuEaX18
tunaongelea wakati mwenyekiti wa chadema hakujuwa hizo bara bara zitakuwa kama mipira ya kiume!! bara bara hazikudumu ata kwa miezi 6!! leo tumpe kura tunaumwa au!!?
 
Back
Top Bottom