ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 10,292
- 4,974
barabara 90% vimeo
Hebu angalia hii huko Ethiopia[/QUOTE
Ni nini cha ajabu hapo kwa mfano? lakini sie wabongo wa ajabu sana maana mpaka tulivyoumbwa na rangi yetu hatujikubali tunajikoroga na vit.ko hatuvikubali mpaka tubandike vya kichina
Kua badi acha ufaka we ------! Cha ajabu hukioni hapo?! Tafuta sehemu tanzania hii high way ya four ways kama utaipata!! Usilete ujinga ujinga wako hapa, cha kujikubali unachokiona ww ni nn? ---- ww
Sasa sema uliyaona hayo kabla ya Kikwete? unajuwa ni nini hicho?
[/SIZE] Ila mazuri yake jamani inabidi tuyakubali tu. Hata kama mimi ni team Lowassa.
[/B][/B][/B]![]()
Kua badi acha ufaka we ------! Cha ajabu hukioni hapo?! Tafuta sehemu tanzania hii high way ya four ways kama utaipata!! Usilete ujinga ujinga wako hapa, cha kujikubali unachokiona ww ni nn? ---- ww
Watoto mko likizo?
Vipande vya barabara kuu ambavyo ni bora kibongobongo ni Chalinze- Morogoro(NCC Arshleef), Iyovi/Ruaha Mbuyuni- Mafinaga( NCC Arsheleef), Nangurukuru- Lindi(Karafi), Kurasini- Ubungo( Maltauro), Ndundu- Somanga( Karafi),angalau Ubungo- Mwenge( Mchina) wengine ongezeeni. Kwa maana hiyo nje ya hapo barabara nyingi zina mashimo, Mawimbi nk
Tanzania hakuna barabara za lami bali barabara udongo zilizopakwa rangi nyeusi