GwaB
JF-Expert Member
- Mar 19, 2014
- 5,144
- 6,910
- Thread starter
- #21
Maboso: Nafikiri hiyo ni southern highlands highway.Specifications zinakuwa kwenye mkataba baada ya tajiri kumwelekeza mfadhili/mjenzi aina ya barabara anayotaka ijengwe kulingana na mahitaji halisi ya mradi huo.Barabara hii kwa umuhimu wake na jinsi ilivyo sasa hivi,wewe unaona iko sawa?,je si ingeweza kuwa bora kuliko sasa na viwango vya juu zaidi ya hapo?.