Wakazi wa mji wa Musoma waamua kuonyesha mahaba kwa mkombozi wa Tanzania mh Edward Lowasa
Hakika mkoa wa Mara mabadiliko yamefika
Hakika mkoa wa Mara mabadiliko yamefika
Virobamusoma muda huu ni balaa. Ni kama Christmas musoma Leo. Leo jumapili wanepiga deji Barbara inayotoka hotel ya Matvilla aliyolala Lowasa ili apite pakiwa pasafi
musoma muda huu ni balaa. Ni kama Christmas musoma Leo. Leo jumapili wanepiga deji Barbara inayotoka hotel ya Matvilla aliyolala Lowasa ili apite pakiwa pasafi
Kwa hali hii CCM itatokea wapi? Kweli ule muda wa MUNGU umeshafika! Hakuna namna tena!