Barabara zapigwa deki Musoma

Barabara zapigwa deki Musoma

Kuna watu lazima watapata stroke kabla ya 25/10

cc stroke, [MENTION]Lizabon[/MENTION], [MENTION]Tumainel[/MENTION], [MENTION]Mzeemwanakijiji[/MENTION].

Wapiga Kura wametuliaaa, wapo kanisani sasa Hivi wanaliombea Taifa Amani ,vibaka wapo wanadeki Barabara za Magufuri
 
Last edited by a moderator:
Jamani jamani!Hiyo picha ya mwisho huyo jamaa mwenye shati jeupe si kaka yangu popoma GENTAMYCINE?
Kumbe ndio maana haonekani humu?
Kweli Magufuli alinena,kuna watu mchana wako CCM usiku UKAWA.

Mpopoma hajaamini kama ndugu zake wamekubaki mabadiliko
 
Last edited by a moderator:
Tetetetetetet Uvfisiem hawatachelewa ku copy hyo style na kumfanyia mpga push up,kama hamuamini,xubirin
 
Musoma safi sana! CCM hawakaiwii kusema ni mariufuku kufanya usafi barabarani.
 
Hawa ni vichaaa kabisa lakini wanatakiwa kujua mlutheri wao hatogusa ikulu...
 
Wapiga Kura wametuliaaa, wapo kanisani sasa Hivi wanaliombea Taifa Amani ,vibaka wapo wanadeki Barabara za Magufuri

Hivi ccm imewapa nn nyinyi? Kitu gani ccm wanatufanyia ukawa hawawezi kutufanyia? Acheni ubinafsi. Kwahyo na wewe ni mpiga viroba maana uko humu unasoma comments hujaenda kanisani na kama umeenda huna concentration.
 
Wataelewa tu.. Nape amesema anaenda Japan kusoma sijui kaogopa mabadiliko
 
Mwanza hatukubali kuzidiwa na musoma ahaaaaaa kuwa ukawa raha sana
 
Nasubiri wale wa copy & paste waige na hii km kawaida yao...
 
Back
Top Bottom