Barabara zapigwa deki Musoma

Barabara zapigwa deki Musoma

Eeh lowasa apita musoma
Safisheni ya lami apite
Nani apite.. Lowasa
Lowa apite apite
Tengeneza ya lami apite

Dodoredofami remido solaso
 
Hapo ni guinea siku wakipiga usafi kuzuia ebola
Cc lizaboni na magamba wenzio
 
Hawa ni vichaaa kabisa lakini wanatakiwa kujua mlutheri wao hatogusa ikulu...

Kama hawa ni vichaa, vipi wale Halmashauri ya Jiji la Dar es Slaam ilipokuwa inapiga deki kama hivi kwenye ujio wa Obama hapa Tanzania?

Niambie nani hn dini au kabila! Siasa hizo za kutugawa kwa faida yenu, zimekataliwa na Watanzania!

Watanzania tumeona kati ya muislam na mkristo, dhehebu hili na dhehebu lile! Sisi tupo wamoja! Njoo na single nyingine
 
Wapiga Kura wametuliaaa, wapo kanisani sasa Hivi wanaliombea Taifa Amani ,vibaka wapo wanadeki Barabara za Magufuri


Kwa hiyo wewe sio mpiga kura, ama siku hizi mna surf JF kanisani?
 
hii ndo musoma hawana utani wanasimamia wanachokiamini sio matutusa kama ya baadhi ya mikoa
 
kumbe hata musoma ni waumini wa VIROBA?? Hao wahun wamepewa buku tano tano ili wauze tu! hizi porojo zote mwisho mwezi huu...
 
Jamani jamani!Hiyo picha ya mwisho huyo jamaa mwenye shati jeupe si kaka yangu popoma GENTAMYCINE?
Kumbe ndio maana haonekani humu?
Kweli Magufuli alinena,kuna watu mchana wako CCM usiku UKAWA.

Dada Nikifukuzwa Kazi Kwa UPOTOSHAJI Wako Huu UTANILISHA Wewe Hapo Kwako. Naona Sasa Wana UKAWA Wote Kupitia Kwa MALKIA Wenu Mkuu Wa UPOPOMA Humu JF nifah MMESHINDWA KUSHINDANA NA MIMI Kwa HOJA Humu Na Mmekuja Na Mbinu Ya KUNICHAFUA Kwa KUNIHUSISHA Na Picha Za UWONGO Za Mikutano Ya UKAWA ILI Mabosi Zangu Wa CCM Wajue Kuwa Ni Kweli Mchana Nakuwa Ndege Na Usiku Nakuwa Popo. Kweli Nimeamini Sasa Kuwa Mimi Ni KIBOKO Ya UKAWA Humu JF. Na Nipo Sana Tu Hadi MNYOOKE!
 
Last edited by a moderator:
Ukawa wa ajabu sana,alipolowasika wala hawakumsafisha,mkamuacha mwenyewe,leo eti mnapiga deki
 
Viva makamanda wa Musoma! Hakuna kulala mpaka baba Lowassa aingie ikulu ya Magogoni.

attachment.php
 
Naona Maza Hapo Kabong'oa Halafu Huyo Jamaa Nyuma Yake Hapo Anaiseti Achomeke Tu Kimtindo. Huyo Maza Wa KIKURYA Anajua Mno KUCHUMA MBOGA.
Kumbe Nifa hajakosea, wewe ndio huyo jamaa anayetarajia kufanya ushetani kwa huyo mama!
 
Back
Top Bottom