Barabara ya Usagara Kisesa yaanza kujengwa

Barabara ya Usagara Kisesa yaanza kujengwa

Jambo Tz

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
670
Reaction score
203
Nyanza road wamepewa kandarasi ya ujenzi wa barabara Usagara Kisesa kwa miezi 15, wataweza
 
Nyanza road wamepewa kandarasi ya ujenzi wa barabara Usagara Kisesa kwa miezi 15, wataweza

Nyanza road ni Mkandarasi wa daraja la ngapi? Ataweza ikiwa atawezeshwa na kama na yeye atawawezesha. Najisikia kizunguzungu jamani
 
Nyanza road ni Mkandarasi wa daraja la ngapi? Ataweza ikiwa atawezeshwa na kama na yeye atawawezesha. Najisikia kizunguzungu jamani

Tatizo ni huo muda mie nadhani hivyo
 
Nyanza hawana lolote aisee,wamelipua barabara ya nyasaka alivyoenda magufuli kapewa mil50 kawa mpole!!!!
 
Mkuu, hii itakuwa mkombozi wa uharakishaji maendeleo kwa jiji letu la Mwanza.

Vipi viwanja havipatikani pembezoni mwa hiyo barabara kwa minajili ya biashara?
 
Nyanza hawana lolote aisee,wamelipua barabara ya nyasaka alivyoenda magufuli kapewa mil50 kawa mpole!!!!

Hasa kwenye kona ile kama unatokea Kiloleri sokoni kukunja unaingia pale kwenye kanisa na petrol station inayojengwa na zile kona kama unakwenda big bite maeneo ya sokoni unaweza ukadondosha gari mdau kwani wameshindwa kuinyanyua upande mmoja kiana ili gari inapokata kona isitoke nje ya barabara (kwenye kona alafu wameiweka level). Kwa hapo walipofikia wame-improve kulinganisha na zamani maana kuna barabara ya Misungwi to njiapanda ya Misasi walifanya ukarabati ilikuwa kituko. Wakizidi kupata tenda watajirekebisha kama vile walivyojenga ile barabara ya Kona ya Bwiru to Kitangiri naona ilikuwa bomba

Hata barabara za Dodoma hawa jamaa walipewa tenda kujenga
 
Heri ya Nyanza Road kuliko wale matapeli wanaitwa Jasco...

Pia Nyanza Road kawafunika wachina kibao, tumpe nafasi mwindi-mswahili kazi zake sio mbaya kihivyo kwa hapa Mwanza
 
Mkuu, hii itakuwa mkombozi wa uharakishaji maendeleo kwa jiji letu la Mwanza.

Vipi viwanja havipatikani pembezoni mwa hiyo barabara kwa minajili ya biashara?

wahindi washachukua chao meeeen
 
Barabara ya Jet corner-vituka-davis corner mpaka leo hawajaimaliza! But kwwa kipande cha Davis corner mpaka mwisho wa lami vitika wamejenga kiwango kikubwa sana, hhakuna defect despite heavy rains zilizokuwepo.
 
Kuna barabara mhimu sana japo cjui serikali huwa inampango gani yakutoka kisesa mpaka sumve ile ni mhmu sana but cjui kama iko kwenye mpango wa kujengwa kwa ssi tunaotoka kanyerere mwakalima gambajiga mpaka kolomije tunajua tabu yake
 
Mkuu, hii itakuwa mkombozi wa uharakishaji maendeleo kwa jiji letu la Mwanza.

Vipi viwanja havipatikani pembezoni mwa hiyo barabara kwa minajili ya biashara?

Ninacho pale hakiko mbali sana na barabara.....ni PM tuongee biashara
 
Kuna barabara mhimu sana japo cjui serikali huwa inampango gani yakutoka kisesa mpaka sumve ile ni mhmu sana but cjui kama iko kwenye mpango wa kujengwa kwa ssi tunaotoka kanyerere mwakalima gambajiga mpaka kolomije tunajua tabu yake

Niliwasikia wapo kwenye mpango. Wataanzia pale kona ya fella mpaka sumve baada tu ya kukamilisha hii ya kisesa-usagara
 
Mkuu, hii itakuwa mkombozi wa uharakishaji maendeleo kwa jiji letu la Mwanza.

Vipi viwanja havipatikani pembezoni mwa hiyo barabara kwa minajili ya biashara?

Viwanja vinapatikana sana hasa muda huu. Nipm kwa mawasiliano na maelekezo ya vinapopatikana kwa bei chee along the roadside
 
Laiti serikali ingeikumbuka barabara ya kiseke ppf. Usafiri ni taabu mno sababu ya barabara mbovu, na ni eneo lenye wakazi wengi
 
Hii bararbara imefia wapi? Naona majengo ya Tanroad wanakaa walinzi tu.
 
Back
Top Bottom